• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

TUME HURU YA UCHAGUZI YATAKA SHERIA NA TARATIBU ZA UBORESHAJI DAFTARI ZIZINGATIWE

Posted on: August 11th, 2024

TUME HURU YA UCHAGUZI YATAKA SHERIA NA TARATIBU ZA UBORESHAJI DAFTARI ZIZINGATIWE


Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Magdalena Rwebangira amewaasa Maafisa Uandikishaji Mkoani Mwanza kwenda kutoa mafunzo ya nadharia na vitendo katika ngazi za kata kwa kuzingatia, sheria, taratibu na kanuni za tume hiyo.

Ametoa wito huo leo Agosti 11, 2024 wakati akihitimisha mafunzo ya siku mbili ya watendaji wa ngazi ya Mkoa kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza huku yakiwakutanisha wajumbe wa majimbo yote ya Mkoa huo.

Mhe. Rwebangira amewataka maafisa hao kuwasiliana na tume mara kwa mara endapo litatokea jambo la kuhitaji ufafanuzi ili kuhakikisha wanatekeleza kwa ukamilifu majukumu waliyopewa kwa maslahi ya zoezi hilo.

Aidha, amewataka watendaji hao kuwa makini kwenye usambazaji na utunzaji wa vifaa, matumizi ya lugha nzuri na kusimamia waandikishaji ili wafanye kazi muda wote kwenye vituo vya kuandikishia hata kama hakutakua na wahitaji.

Naye mshiriki Emanuel Sherembi ambaye ni Mwenyekiti wa mafunzo hayo amefafanua kuwa kwa siku mbili hizo wamepata mafunzo ya nadharia na vitendo juu ya ujazaji wa fomu mbalimbali, namna ya kuandikisha wapiga kura, mfumo wa uandikishaji, mapokezi ya vifaa na usimamizi wa fedha.

"Washiriki wote wameelewa na wamefanya mazoezi kwa vitendo na kwa  uwezo waliojengewa utawafanya kwenda kufanya kazi hiyo nyeti kwa weledi mkubwa na Mwanza itafanikisha vema zoezi hilo." Amejinasibu mwenyekiti Sherembi.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti