• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

TUMUENZI BWIRE KWA KUENDELEZA MICHEZO MWANZA:RC MTANDA

Posted on: January 31st, 2025

TUMUENZI BWIRE KWA KUENDELEZA MICHEZO MWANZA: RC MTANDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda  amewaongoza waombolezaji kuaga mwili wa aliyekuwa mkurugenzi wa kituo cha michezo cha Alliance Sports Academy, Marehemu James Bwire na kuwakumbusha njia pekee ya kumuenzi ni kuyatenda kwa vitendo mema yote aliyotenda ikiwemo kuendeleza michezo.

Akizungumza leo Januari 31,2925 wakati wa kutoa salamu za rambirambi nyumbani kwa marehemu Nyakato-mahina wilayani Nyamagana,Mkuu huyo wa Mkoa amesema enzi za uhai wake marehemu ametoa mchango mkubwa wa kuendeleza michezo na taaluma ya elimu kupitia vituo vyake vya michezo na shule,hivyo juhudi hizo hazina budi kuendelezwa.

"Marehemu Bwire nimebahatika kumfahamu ni mtu aliyekuwa na msimamo katika kile alichokuamini,timu yake ya Alliance hata pale ilipoanza kuyumba hakukata tamaa zaidi ya kusimama kidete kuipigania,"Mtanda.

Mtanda ameendelea kubainisha maendeleo ya michezo hayaji kimiujiza bali yanahitaji moyo wa kujitoa,uvumilivu na upendo pia mfano ambao hauna budi kuigwa aliyotuwachia Bwire.

"Leo tumeona ushuhuda wa baadhi ya wanafunzi na wanamichezo waliosoma shule za Alliance ambao sasa wamekuwa na mchango mkubwa katika Taifa wakiwemo wachezaji Israel Mwenda,Athanas Mdamu, Mapinduzi Balama,"Mkuu wa Mkoa

Aidha Mhe.Mtanda ametoa pole kwa familia ya Bwire kwa kuondokewa kwa mpigo  mpendwa wao na mama yake mzazi na kuwaahidi kuendelea kushirikiana nao katika raha na shida.

Wakati huo huo Mkuu huyo wa Mkoa mapema leo asubuhi ameshiriki katika ibada ya mazishi ya aliyekuwa mrakibu mwandamizi wa jeshi la Polisi mkoani Mwanza Dkt.Aloyce Kessy.

Akizungumza mara baada ya ibada ya mazishi iliyofanyika kwenye viwanja vya Polisi Mabatini,Mtanda amesema marehemu enzi za uhai wake alitumia muda wake mwingi kupambania afya za wananchi wakiwemo askari wenzake,na kuwaomba waendelee kumuombea apumzike kwa amani peponi.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti