• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

TUNAHITAJI SULUHISHO KWA VITENDO NAMNA YA KUTEKELEZA MAJUKUMU YA MALEZI : DKT. JINGU

Posted on: May 23rd, 2025

TUNAHITAJI SULUHISHO KWA VITENDO NAMNA YA KUTEKELEZA MAJUKUMU YA MALEZI : DKT. JINGU


Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maaalumu Dkt. John Jingu leo mei 23 amefungua kongamano la malezi Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Rock City Mall, Mwanza na kuwataka wajumbe wa kongamano hilo kuja na mapendekezo ya majawabu halisia ya namna ya kuwa na malezi bora ya watoto.

Mhe. Dkt Jingu amesema anatamani kongamano hilo litakapokuwa likijadili lijikite katika kutafuta namna bora na wezeshi ya kuwalea watoto ambayo itawajengea msingi imara kuanzia ngazi ya familia, jamii na hata Taifa kiujumla.

“Wito wangu tuje na majawabu halisia, na siku hizi kuna smart phones, smart watches hivyo kwa nini na sisi tusiwe na smart child care?, kwa hiyo mapendekezo hayo ndio tunayoyataka”.

Awali akizungumza katika Kongamano hilo, Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana ametoa rai kuwa jukwaa hilo lije na majibu chanya kwa familia kama nguzo imara katika kuwapa malezi bora watoto hapa nchini.

"Nitoe rai kwenu, kwanza mlitumie vizuri jukwaa hili vizuri kwa kuwa nyote mliopo hapa mnajihusisha na malezi kwa namna moja ama nyingine leteni mikakati chanya itakayokuwa na tija kwa Taifa” Amesema Katibu Tawala.

Kongamano hilo la malezi Tanzania lililobeba kaulimbiu isemayo “Kuwekeza katika maendeleo ya awali ya mtoto ni msingi wa kujenga Tanzania imara na endelevu” linatarajiwa kuhitimishwa hapo kesho tarehe 24 mei 2025 huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Dotto Biteko.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti