• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

TUNAISHUKURU SERIKALI YA RAIS SAMIA KWA KULETA MIRADI YA KIMKAKATI MWANZA: RC MAKALLA

Posted on: March 16th, 2024

TUNAISHUKURU SERIKALI YA RAIS SAMIA KWA KULETA MIRADI YA KIMKAKATI MWANZA: RC MAKALLA


*Miradi ikikamilika Mwanza itapaa kiuchumi*


*Kamati ya Bunge yaishauri serikali kujenga vituo vya afya Misungwi na Sengerema*


Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe. Amima Makilagi amesema Serikali imeleta Trilioni 3.3 kujenga miradi ya kimkakati kuanzia Daraja la JP Magufuli, Meli ya MV MWANZA, Uwanja wa ndege pamoja na Reli ya kisasa (SGR) ambayo yote kwa pamoja ni nguzo muhimu ya kiuchumi itakayo kuwa na tija kwa wananchi Taifa.

Mhe. Makilagi amesema hayo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza leo Machi 16, 2024 wakati akitoa salamu za Mkoa kwa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ambapo ametumia wasaa huo kuishukuru Serikali ya Rais Samia kwa kuleta Miradi ya kimkakati ambayo amebainisha kuwa itapokamilika itaupaisha kiuchumi mkoa huo.

"Mwenyekiti wa kamati, Mhe. Moshi Kakoso kwa niaba ya wananchi wa Mkoa huu tuna kila sababu ya kumshukuru Rais Samia kwa kutoa fedha nyingi na bunge kuiidhinisha ,tunakuahidi tutaisimamia vizuri na kukamilika kwa wakati," Mhe.Makilagi

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu ambaye pia ni Mbunge wa Mpanda vijijini Mhe. Moshi Kakoso amesema wataishauri Serikali kuhakikisha wananchi waliopitiwa na mradi wa Daraja la JP Magufuli wananufaika nalo kwa kujengewa vituo vya afya na Mkandarasi wa mradi huo.

"Wananchi wa wilaya za Misungwi na Sengerema tunakwenda kuishauri Serikali kabla ya mradi huu wa Daraja kukamilika  wapatiwe vituo vya afya,naomba pia Ofisi ya mkuu wa mkoa hili mlisimamie na muhakikishe limefanyika," amesema Mwenyekiti wa kamati.

Aidha, ameutaka pia uongozi wa Mkoa huo kuhakikisha miradi yote haihujumiwi na wananchi na badala yake ikamilike kwa wakati na iwe endelevu kwa maslahi ya Taifa kwa ujumla.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti