• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

UHUSIANO WA TANZANIA NA UJERUMA NI UMEZIDI KUWA NA TIJA: RC MAKALLA

Posted on: March 22nd, 2024

UHUSIANO WA TANZANIA NA UJERUMA NI UMEZIDI KUWA NA TIJA: RC MAKALLA


*Aishukuru Ujerumani kwa kuutambua Mkoa wa Mwanza Kimkakati na kuiumarisha kimaendeleo*


*Asema Miradi ya Maji, Afya, Mazingira inaendelea kupiga hatua*


Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mhe. Hassan Masala leo Machi 22, 2024 amempokea balozi wa Ujerumani hapa nchini Mhe.Thomas Terstegen na kusema uhusiano baina ya nchi hizo ulioanza tangu mwaka 1960 umekuwa na tija kutokana na kuwepo miradi mbalimbali ya kuwaletea maendeleo wananchi.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Masala amebainisha kuwa miradi iliyoletwa na Ujerumani hususani sekta ya Afya, Umeme, Maji, MaliAsili na Elimu na mingineyo imekuwa chachu ya maendeleo hapa nchini.

"Mhe. Balozi nikushukuru kwa kuutambua Mkoa wa Mwanza upo kimkakati na kuleta miradi ya afya,maji na mazingira hii ni hatua nzuri ambayo itazidi kuumarisha kiuchumi mkoa huu," Mkuu wa Wilaya.

Balozi wa Ujerumani Mhe.Thomas Terstegen amesema uhusiano wa Tanzania na Ujerumani utazidi kuwa endelevu huku ukiwanufaisha wananchi wa pande zote mbili.

"Kutokana na jiographia ya Mwanza tutaleta Mradi wa kuimarisha mifumo ya maji taka na safi kwa wanaoishi sehemu za milimani, pia tutajenga kingo za mto mirongo na kuleta vifaa vya kupambana na uchafuzi wa mazingira." Balozi.

Balozi huyo katika ziara yake ya siku mojs Mwanza atatembelea pia Chuo cha wanyamapori cha Pasinsi, miongoni mwa miradi wanayoifadhili.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti