• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

UTOAJI WA CHAKULA CHENYE VIRUTUBISHO SHULENI NI LAZIMA: RAS BALANDYA

Posted on: August 12th, 2024

UTOAJI WA CHAKULA CHENYE VIRUTUBISHO SHULENI NI LAZIMA: RAS BALANDYA


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana amewataka wadau wa masuala ya Lishe Mkoani humo kuhakikisha chakula kinachopatikana kwenye shule za msingi na sekondari kinakua na virutubisho ili kutokomeza udumavu kwa watoto.

Ametoa wito huo mapema leo jumatatu ya Agosti 12, 2024 wakati akifungua Kikao kazi cha kujadili Afua za Lishe ambapo alibainisha kuwa suala la upatikanaji wa chakula kwenye shule za mkoani humo upo kwa asilimia 73 lakini ni asilimia 50 tu ndio kina virutubisho.

Bw. Balandya amefafanua kuwa kukosekana kwa chakula chenye virutubisho mathalani madini chuma na zinki pamoja na vitamini B 9 kumepelekea mkoa huo kuwa na udumavu kwa asilimia 27 kwa watoto walio chini ya miaka mitano kwa utafiti wa mwaka 2022.

Amesema, wasindikaji wanaochakata vyakula ili kupeleka kwenye shule za Mkoa huo ni lazima wahakikishe vinakua na virutubisho na kwenye hilo amewaomba Shirika la Viwango (TBS) kupitia ofisi ya Kanda ya ziwa kuhakikisha wanasaidia kudhibiti ubora wa virutubisho kwenye vyakula hivyo.

"Ubongo na akili ya mtoto hutegemea lishe bora anayopatiwa hivyo twendeni tukawape chakula chenye virutubisho shuleni na tutoe elimu kwa wazazi na walezi kupitia vikao vya shule kuhakikisha wanawapa chakula bora nyumbani ili uwezo waliojaliwa na Mungu uonekane" Amesisitiza Balandya.

Naye, Mganga Mkuu wa Mkoa huo Dkt. Jesca Lebba amesema ni vyema jamii ikajikita kwenye utoaji wa chakula chenye virutubisho ili kuwajengea watoto afya njema na kwa kufanya hivyo wtakingwa na tiba zitokanazo na udumavu au ukondefu ambavyo visipodhibitiwa jamii huingua kwenye kutibu maradhi.

"Afya bora ndio mtaji wetu wote, hatuwezi kufanya chochote bila kuwa na afya bora hivyo watoto wetu ni lazima wawe na lishe bora wakati wote ili tujenge Taifa lenye nguvu la sasa na la baadae." Ameongeza Mganga Mkuu.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti