• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Waajiri wababaishaji waonywa Mwanza

Posted on: May 1st, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe.Adam Malima amesema waajiri wasiozingatia sheria za kazi watawajibishwa kwa kuchukuliwa hatua stahiki za sheria.

Pia  amewataka  waajiriwa (watumishi )kufanya kazi kwa kuzingatia misingi ya uwajibikaji na uwadilifu.

Mhe.Malima ameyasema hayo leo Mei Mosi, 2023 wakati  akizungumza kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika kimkoa  Wilayani Sengerema mkoani humo .

" Maagizo yangu kwa  waajiri zingatieni sheria za kazi ikiwemo kuwasilisha michango ya wafanyakazi kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii kwa wakati,"amesema Mhe.Malima.

Mhe.Malima ameongeza kuwa katika kujali maslahi ya watumishi Serikali ya Awamu ya Sita,mkoani Mwanza imewalipa sh.bilioni 1.74 watumishi 571 walioghushi vyeti na sh.milioni 660 walilipwa watumishi 503 za malimbikizo yasiyo ya mishahara.

"Kazi inayofanywa na Rais  Mhe.Dk.Samia Suluhu Hassan, ni kubwa,yapo maeneo itaendelea kujipanga kuboresha maslahi ya wafanyakazi na  kufanyia kazi nyumba za watumishi na stahiki zingine hatua kwa hatua," amesema Mhe.Malima.

Awali Mratibu wa Shirikisho la Vyama Huru vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) mkoa wa Mwanza,  Zebedayo Athuman, alisema baadhi ya waajiri wanakiuka sheria,hawawasilishi michango ya watumishi kwenye

mifuko ya jamii,hawatoi mikataba ya ajira na hawalipi mishahara kwa wakati.

."TUCTA tunaiomba Serikali ifanyie kazi changamoto hizo ili kuwapa nafuu wafanyakazi na kukomesha tabia  za waajiri wasiozingatia sheria za nchi, " alisema Athuman.

Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi mwaka huu 2023  yameongozwa na kauli mbiu isemayo  'Mishahara Bora na Ajira za Stara ni Nguzo ya Maendeleo ya Wafanyakazi." Wakati ni sasa.




Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti