• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WAFAYABIASHARA WA DAWA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ILI KUEPUKA KUMDHURU MWANANCHI: RC MTANDA

Posted on: May 17th, 2024

WAFAYABIASHARA WA DAWA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ILI KUEPUKA KUMDHURU MWANANCHI: RC MTANDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka wafanyabiashara wa dawa kuepuka aina yoyote ya udanganyifu na badala yake wafuate Sheria na kanuni kutoka Mamlaka ya dawa na vifaa tiba TMDA.

Akizungumza leo Mei 17, 2024 eneo la Magereza, Butimba wakati wa hafla fupi ya kuwakabidhi msaada wa dawa kwa Jeshi hilo zilizotolewa na Mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA), Mtanda amesema bado wapo baadhi ya wafanyabiashara wanaofanya udanganyifu wa magendo na kuuza dawa zisizo sahihi hali ambayo inakuja kumdhuru mwananchi.

"TMDA nawapongeza kwa kuendelea kuonesha kuijali Jamii kwa kutoa msaada huu wa dawa zenye thamani ya shs milioni 56.4 kwa ajili ya Zahanati za Magereza,rai yangu kwenu kupitia wakaguzi wenu ongezeni bidii kuwabaini wale wote wanaofanya shughuli hii kinyume na utaratibu na wafikishwe kwenye vyombo vya kisheria,"Mkuu wa Mkoa

Aidha Mhe.Mtanda amezitaka Taasisi nyingine kuiga mfano wa TMDA wa kujali kuhudumia Jamii kwani kwa kufanya hivyo tunazidi kujenga jamii inayoishi kwa upendo na ushirikiano

Meneja wa Mamlaka ya dawa na vifaa tiba Kanda ya ziwa Mashariki,Sophia Mziray amebainisha huo ni utaratibu wao wa kila mwaka ambapo mwaka jana walitoa msaada wa dawa hizo wenye thamani ya shs milioni 58.

"Tunashukuru sana Taasisi hii kwa kuendelea kutujali,kama mjuavyo Jeshi letu lina shughulika na wafungwa na wanahitaji pia matibabu wanapokuwa wanatumikia vifungo vyao,msaada huu umelenga mahali mwafaka kabisa",Justin Kaziulaya,Mkuu wa Magereza,Mwanza.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti