• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WATUMISHI MWANZA RS WATINGA STESHENI YA SGR DAR

Posted on: February 23rd, 2025

WATUMISHI MWANZA RS WATINGA STESHENI YA SGR DAR


Watumishi kutoka Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza mapema leo asubuhi wameanza safari ya kuhitimisha ziara yao kwa kutembelea Stesheni ya SGR na baadaye kupanda kuelekea Jijini Dodoma.

Mara baada ya kuwasili Stesheni ya Dar ijulikanayo kwa jina la Magufuli leo Februari 23, 2025 msafara wa watumishi hao ulipokelewa na mwenyeji wao Bw.Hassan Mbonde kutoka kitengo cha Mawasiliano na kuanza kuwapa taarifa ya mradi kabla ya kuwatembeza  kwa baadhi ya maeneo muhimu kwenye jengo la abiria.

"Huu mradi hadi Dodoma umegharimu zaidi ya Trilioni 7 na utakapo kamilika hadi Mwanza utagharimu zaidi ya Trilioni 20, fedha hizi ni mkopo kutoka kwenye taasisi za kibenki za kimataifa," amesema Mbonde.

Amesema, hivi sasa wapo katika hatua za mwisho za kuanza kusafirisha shehena kubwa ya mizigo ambayo ndiyo itaingizia faida zaidi shirika la TRC.

Aron Kalondwa kutoka Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza amebainisha huo ni uwekezaji ambao kila mtanzania ana kila sababu ya kujivunia na ameipongeza Serikali ya awamu ya sita kwa kuleta mageuzi makubwa ya kiuchumi.

"Awali tuliona kama ndoto sisi kuja kuwa na mradi wa kisasa kama huu zaidi ya kuuona kwa Mataifa ya Ulaya na kwingineko, natoa pongezi kwa viongozi wetu wa Kitaifa kwa kuwapigania watanzania maendeleo,"Janeth Shishila, Afisa Maendeleo ya Jamiii.

Watumishi hao wakiwa safarini kuelekea Jijini Dodoma wameshuhudia mandhari ya nchi yakiwemo mabonde, mito na milima inayotiririsha maji.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti