• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WATUMISHI RS MWANZA WAANZA SAFARI YA KWENDA BWAWA LA UMEME MWL NYERERE

Posted on: February 20th, 2025

WATUMISHI RS MWANZA WAANZA SAFARI YA KWENDA BWAWA LA UMEME MWL NYERERE


Watumishi 33 kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wameanza safari ya kwenda kutembelea Bwawa la Umeme la Mwl Nyerere lililopo mkoani Pwani ikiwa ni ziara ya kutembelea baadhi ya miradi mkubwa iliyowekezwa na Serikali.

Akizungumzia safari hiyo leo Februari 19, 2025 kiongozi wa msafara huo ambaye ni Afisa Utumishi Bw. Paul Cheyo amebainisha kuwa ziara hiyo itawaongezea watumishi hao ufahamu wa mambo mbalimbali yanayofanywa na Serikali na utalii wa ndani kwa jumla.


Ameongeza kuwa hii ni fursa nyingine ambayo pia itawaongezea watumishi ari ya kufanya kazi baada ya kupata nafasi ya kubadilsha mazingira.

"Tunatumia muda mwingi kutoa huduma kwa wananchi na wakati mwingine mtumishi anakosa muda wa likizo kutokana na kutingwa na majukumu, naamini ziara hii italeta mageuzi chanya watumishi watakaporudi kazini", amesema Cheyo.


Baadhi ya watumishi hao wakiwa na nyuso za furaha wametoa shukran kwa viongozi wao zkiwemo Mkuu wa Mkoa Mhe Said Mtanda na Katibu Tawala Balandya Elikana kwa kuwapatia nafasi hiyo na kuwaomba wazidi kuwa wabunifu zaidi kwa mambo yenye tija kwa wafanyakazi wakitolea mfano ziara hiyo.


"Hii kwangu ni ziara ya kwanza kulitembelea Bwawa la Umeme la Mwl Nyerere kwa kazi yangu ya kuhabarisha umma kuhusiana na taarifa za Serikali,ziara hii itaniongezea uelewa wa kutosha",Jacob Marcus,Afisa Habari.


"Nimefurahi pia kupata fursa ya kutembelea mradi wa Treni ya kisasa ya SGR na kusafiri nayo kutoka Dar hadi Dodoma,ni utalii wa ndani wa kujionea maeneo mbalimbali ya nchi yetu," Elizabeth Lupindo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti