• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WAZALISHAJI WA MAZIWA MWANZA WAPEWA SOMO LA KUBORESHA BIDHAA

Posted on: November 7th, 2024

WAZALISHAJI WA MAZIWA MWANZA WAPEWA SOMO LA KUBORESHA BIDHAA


Kaimu Katibu Tawala Uchumi na Uzalishaji Bw. Petet Kasele amefungua mafunzo ya elimu kwa wazalishaji wa maziwa Mwanza na kuwataka kuzingatia sheria taratibu  ili wawe wazalishaji bora na kulimudu soko la ushindani.

Akifungua mafunzo hayo leo Novemba 7, 2024 kwenye ukumbi wa Nyanza Kasele amebainisha kuwa bado baadhi ya wazalishaji wa maziwa wanapata changamoto na kujikuta wakati mwingine kulipa adhabu ya malipo ya fedha au kufungiwa kutokana na kutofuata miongozo iliyopo.

Amesema Serikali ya Mkoa wa Mwanza kwa kutambua umuhimu wa tasnia ya maziwa imeendelea kuboresha mashamba ya ng'ombe bora wa mitamba pamoja na kuhamasisha kilimo bora cha malisho ya ng'ombe.

"Uzalishaji wa maziwa mkoani Mwanza katika mwaka 2023/2024 ulifikia lita 398.53 na tuna jumla ya mashamba makubwa 15 ya ng'ombe wa maziwa na kuanzishwa viwanda vidogo 13 vya kuchakata maziwa",Kasele.

Kwa upande wake mteknolojia wa chakula kutoka bodi ya maziwa, Israel Mwingira amesema mafunzo hayo yatawasaidia wazalishaji  hao hasa wanapotaka kuuuza au kuagiza maziwa nje ya nchi.

"Wazalishaji wengi maziwa wanafanya shughuli zao bila kujisajili na inapobainika wanajikuta wanakumbana na mkondo wa sheria na kuona kama wanaonewa",Nice Nestory,mwanasheria,bodi ya maziwa

Wazalishaji hao wameelimishwa kuhusu sheria ya tasnia ya maziwa,taratibu za usajili na taratibu za kuomba vibali vya kutoa au kuingiza maziwa nchini.


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti