• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Waziri Jaffo asisitiza ukusanyaji wa mapato

Posted on: October 22nd, 2018

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)Mhe. Suleiman Jaffo amewataka watendaji kuongeza  kasi ya ukusanyaji wa mapato wa Manispaa ya Ilemela, ambayo ni miongoni mwa manispaa zenye vyanzo vingi vya mapato.

Jaffo ameyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na watendaji na wafanyakazi wa Manispaa ya Ilemela ambapo alipata fursa ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya afya na barabara ambayo inatekelezwa chini ya Wizara yake,  wakati wa ziara yake ya kikazi ya siku moja katika manispaa hiyo.


Kwenye mkutano wake na watumishi wa manispaa hiyo, Jaffo aliwasimamisha Mchumi wa Manispaa hiyo Amosy Zephania na Mtunza Hazina wa Manispaa hiyo Jamea Dalasia ili  kueleza mikakati waliyoweka kuhakikisha nakusanya mapato na kufikia malengo waliyoweka kama Manispaa.

“ Kwenye suala la ukusanyaji wa mapato, nilichokigundua kwa baadhi ya maeneo mengi ni uzembe wa baadhi ya watumishi na msikubali mtu mmoja akawaharibia kazi”, alisema Mhe.Jaffo.

Alimtaka Mkurugenzi Mtendaji wa manispaa ya Ilemela John Wanga kuwa mkali na kuhakikisha kuwa anawachukulia hatua kali baadhi ya watumishi walio chini yake wenye malengo ya kukwamisha juhudi za ukusanyaji wa mapato.

“ Kamati ya fedha na mipango simamieni vizuri  ukusanyaji wa mapato ya manispaa yenu, makosa ya mtu mmoja yanaweza kusababisha manispaa yenu kusemwa vibaya,"alisema Mhe.Jaffo.

“ Unapoona manispaa yenu inasemwa vibaya, maana yake unaharibu jina la Mkuu wa Mkoa, Mkuu wenu wa wilaya na kamati nzima ya fedha,tubadilike na tuache kufanya kazi kwa mazoea."


Katika hatua nyingine Jaffo alimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa manispaa hiyo John Wanga kwa kufanya maboresho ya ukusanyaji wa mapato kwenye Soko la Kimataifa la Mwaloni ambapo makusanyo yamepanda kutoka Sh milioni 34 hadi kufikia Sh. milioni 54  katika kipindi cha kuanzia Oktoba mosi hadi Oktoba 21 mwaka huu.

 Kwa mujibu wa Wanga, ufanisi huo wa ukusanyaji wa mapato katika soko hilo, umetokana na manispaa hiyo kununua mizani ya kisasa ya kupimia mazao ya samaki, hali ambayo imeongeza mapato hayo maradufu.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti