• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WAZIRI MKUU AHIMIZA USIMAMIZI UKAMILISHAJI MRADI WA MAJI KISESA

Posted on: December 21st, 2024

WAZIRI MKUU AHIMIZA USIMAMIZI UKAMILISHAJI MRADI WA MAJI KISESA


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) amewataka Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kuendelea kusimamia kwa karibu ujenzi wa tanki la maji la lita Milioni 5 ili wananchi wanaosubiri huduma hiyo wapate kwa wakati.

Mhe. Waziri Mkuu ametoa agizo hilo mapema leo tarehe 21 Desemba, 2024 kwenye Kijiji cha Bujora - Kisesa wilayani Magu alipofika kukagua mradi wa ujenzi wa tanki la kuhifadhia maji Safi (Lita Milioni 5) linalogharimu zaidi ya Tshs. Bilioni 3.5.

Mhe. Majaliwa amesema ni lazima asilimia 7 zilizobaki kukamilisha ujenzi huo ni muhimu ili kuruhusu maji ya ziwa Victoria kutoka chanzo cha Butimba kufika hapo na kusambazwa kwenye maeneo ya Bujora, Bukandwa, Kisesa na maeneo ya jirani ya Ilemela kwa wananchi elfu 75.

Aidha, amewaagiza wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini (RUWASA) kutumia vema mtambo wa kuchimba visima vya maji uliotolewa na Serikali kufanya hivyo kwa haraka kila inapohitajika ili wananchi wote vijijini wapate maji safi na salama.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametumia wasaa huo kuwapongeza na kuwashukuru Wizara ya Maji pamoja na MWAUWASA kwa kuchapa kazi na kuhakikisha wanamtua mama ndoo kichwani kwa kutekeleza miradi ya maji kila kona ya Mkoa huo.

Akitoa taarifa ya mradi, Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA Bi. Nelly Msuya amesema benki ya Ulaya na Shirika la Maendeleo la Ufaransa kwa kushirikiana na Serikali wanatekeleza mradi huo ambao umeshatekelezwa kwa 93% hadi sasa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti