• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WAZIRI MKUU AMUAGIZA MENEJA WA TANROADS KUHAKIKISHA BARABARA ZA MAGU ZINAPITIKA

Posted on: December 21st, 2024

WAZIRI MKUU AMUAGIZA MENEJA WA TANROADS KUHAKIKISHA BARABARA ZA MAGU ZINAPITIKA


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) amemuagiza Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) kuhakikisha barabara zote Wilayani Magu zinapitika ili ziendane na kasi ya ukuaji wa Wilaya hiyo.

Mhe. Waziri Mkuu ametoa agizo hilo mapema leo Desemba 21, 2024 mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa daraja jipya la Sukuma (70m) na barabara unganishi (2.294) kupitia barabara ya Magu Mahaha Mkoani Mwanza.

Mhe. Majaliwa amesema Serikali inaendelea na juhudi za kuwaletea wanananchi wake maendeleo ambapo katika mradi huo zaidi ya bilioni 9 zimetolewa ili kurahisisha huduma ya usafirishaji na kukuza uchumi wa wananchi wa Wilaya ya Magu na Mkoa wa Mwanza kiujumla.

“Hapa nimeridhishwa na kazi iliyofanywa na Mkandarasi mzawa, natoa rai kazi hii ikamilike kwa wakati kwani Magu sasa inakwenda kukua kwa kasi na miundombinu hii lazima ikamilike ili iendane na kasi hiyo”.

Aidha Mhe. Majaliwa amesema Magu ni sehemu ya fursa ya kibiashara na uchumi na kuwasihi wananchi wa Wilaya hiyo kuanza kampeni ya kuchagiza maendeleo kwani Mwanza sasa ineshakuwa na hakuna nafasi tena.

Awali akisoma taarifa ya mradi huo Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Mhomamed Besta amesema daraja jipya la Sukuma litakuwa na urefu wa mita 70 na upana wa mita 11.35 na litajengwa umbali wa mita 800 pembeni ya daraja la zamani kwenye uelekeo wa mto huku likitekelezwa na Mkandarasi mzawa Mumangi Construction Ltd na anatarajia kukamilisha mradi huo juni 05, 2025.

Akihitimisha ziara yake wilayani Magu Waziri Mkuu amekagua ujenzi wa daraja la Mto simiyu (Mita 175) na barabara Unganishi (KM 3) lenye thamani ya Tshs. Bilioni 48 lenye upana wa Mita 12.3 na ameagiza kasi ya ujenzi ili aprili 25, 2025 litakamilike na kuondoa adha ya daraja finyu lililojengwa kabla ya uhuru.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti