• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WHC watakiwa kupunguza gharama za upangishaji mradi wa nyumba Mwanza

Posted on: February 22nd, 2023


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe. Jenista Mhagama ameiagiza bodi ya Watumishi Housing (WHC) kufanya tathmini ya gharama za Mradi wa Nyumba za Kisesa Mjini Mwanza ili kuona namna ya kupunguza gharama za Uuzaji na upangishaji kulingana na maisha halisi ya Watumishi wa Umma.

Ametoa agizo hilo leo mchana tarehe 22 februari, 2023 alipotembelea Mradi wa Nyumba za Watumishi Housing uliopo kwenye eneo la Kisesa Magu-Mwanza wenye nyumba 59 zilizojengwa kwa Shilingi Bilioni 3.93 ambazo zinauzwa na kupangishwa.

"Ni nyumba nzuri, zinakalika ila shida ni gharama ya upangishaji na kuuzia kuwa kubwa na hali hiyo imetokana na gharama ya Mkandarasi aliyetekeleza mradi huu sasa nawaomba nendeni mkakae na bodi mkafanye tathmini ili mfanye tathmini na kushusha bei bila kuleta hasara hiyo itatusaidia kupata wapangaji na wanunuzi watakaotokana na wapangaji hao." Mhe. Mhagama.

Aidha, amewatala watendaji wa shirika hilo kutoa Elimu kwa watumishi na wananchi juu ya bidhaa zote zinazopatikana kwenye shirika hilo kama vile 'Mfuko wa Faida' ili wananchi wajiunge na kuwa wawekezaji na kuweza kunufaika na mfuko huo.

Naye, Mkuu wa wilaya ya Magu Mhe. Rachel Kasanda amewashukuru Shirika la Watumishi Housing kwa kuwapatia Wananchi Makazi bora na kusaidia kupanua mji tofauti na siku za awali ambapo eneo hilo lilikua na thamani ya chini tofauti na sasa ambao limekua na kuongezeka kwa wawakezaji kutokana na fursa zilizopo.

"Mfuko wa nyumba ni Mfuko wa Faida ambao unasaidia wananchi kuwekeza fedha kwa pamoja na Watumishi Housing inamfanya kuwa mwekezaji na anaanza na Tshs elfu 10 au zaidi ambapo uwekezaji huo ni rahisi kwani unatumia njia ya simu janja hadi unakua mwekezaji." Amesema Dkt. Fred Msemwa, Mkurugenzi Mtendaji wa Watumishi Housing Imvestiment.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti