• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Wizara iwalete wataalam kufanyia uchunguzi Nyayo za Mtu wa Kale Butimba, ni Kivutio cha Utalii: RAS Mwanza

Posted on: December 27th, 2023

Wizara iwalete wataalam kufanyia uchunguzi Nyayo za Mtu wa Kale Butimba, ni Kivutio cha Utalii: RAS Mwanza


Leo Disemba 27, 2023 Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana amempokea Ofisini kwake Naibu Waziri wa Maliasili  na Utalii Mhe. Dastan Kitandula aliyefika kwa utambulisho na kufanya mazungumzo mafupi.

Katika mazungumzo hayo Balandya amesema Mkoa wa Mwanza unaendelea kujivunia, kuvitumia na kutangaza vyema maeneo yote yenye vivutio vya utalii na kuiomba Wizara kuwaleta wataalamu kuona nyayo za mtu wa kale maeneo ya Butimba na kufanya utafiti ili kiwe kivutio kimojawapo cha utalii.

Amesema nyayo hizo zipo kwenye mawe na endapo zitafanyiwa uchunguzi wa kina itakuwa ni miongoni mwa vivutio vingi vya Utalii ndani ya Mkoa wa Mwanza.

"Mhe. Naibu Waziri kwa upande wa uwanja wetu wa ndege ambao utakuwa kichocheo cha kuwaleta watalii wengi, utaanza kufanyiwa ujenzi mwezi Februari mwakani na kukamilika Agosti baada ya Mkoa kuukabidhi kwa mamlaka ya viwanja vya ndege (TAA) ili kukamilisha zoezi hilo", amesema Balandya.

Kwa upande wake Naibu Waziri huyo amebainisha kuwa yupo Mwanza kwa ziara fupi na akiwa hana muda mrefu  kwenye Wizara hiyo analazimika kupita kwenye maeneo mbalimbali na akitoka Mwanza ataelekea Tabora.

"Nimefika Mwanza ili niweze kujionea shughuli na changamoto zilizo kwenye Taasisi zetu na kuzipatia ufumbuzi na mengine kuyafikisha ngazi ya juu kuanzia chuo cha wanyama pori Pasiansi na Chuo cha utalii kilichopo eneo la Isamilo," Mhe. Kitandula.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti