• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

BILIONI 7.2 KUJENGA MABWENI TIA KAMPASI YA MWANZA

Posted on: October 17th, 2024

BILIONI 7.2 KUJENGA MABWENI TIA KAMPASI YA MWANZA


Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe. Johari Samizi amewataka wananchi wa Mtaa wa Nyanghomango kulinda miundombinu ya mabweni ya wanafunzi katika taasisi ya uhasibu Tanzania tawi la Mwanza.

Amezungumza hayo leo Oktoba 17, 2024 wakati wa hafla ya kukabidhiana hati za ujenzi wa mabweni mawili baina ya kampuni ya Wakandarasi wa CAIEC na  Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) wenye thamani ya Shilingi Bilioni 7.2 yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 306 wa kike pamoja na kiume.

Vile vile Mhe. Samizi ameishukuru serikali kwa kuunufaisha Mkoa wa Mwanza kwa miradi ya elimu huku akiwataka wakandarasi kutengeneza fursa za ajira kwa wananchi wa karibu na eneo la mradi.

"Tunafahamu hizi kazi zinahitaji taaluma lakini zile kazi ambazo hazina ujuzi tuwaangalie watu wa eneo hili ili hizi pesa zinazopatikana katika mradi huu ziweze kuwanufaisha nawao". Amesema Mhe. Samizi.

Naye, Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Profesa. William Pallangyo amemtaka mkandarasi anaesimamia ujenzi wa mabweni ya wanafunzi kuhakikisha mradi unakamilika ndani ya miezi 18 ya mkataba huku akiwaahidi ushirikiano wa kutosha katika kukamilisha ujenzi huo.

"Tutahakikisha tunawalipa ndani ya muda na tutahakikisha tunawapa ushirikiano wa kutosha ili kuhakikisha mradi unaaga dunia". Amesema Prof. Pallangyo.

Msaidizi wa Mkurugenzi  wa Kampuni ya CAIEC  inayotekeleza mradi huo Ndg. George Moses  amesema kampuni yao itakamilisha mradi kwa wakati na wananchi wanaoishi karibu na mradi watanufaika na fursa zitakazojitikeza katika mradi huo.

Mradi huo wa ujenzi wa mabweni unatekelezwa na fedha za mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) unaofadhiliwa na Benki ya Dunia (WB).

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.