• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

NYANZA YATAKIWA KUHAKIKISHA PEMBEJEO ZA PAMBA ZINAWAFIKIA WAKULIMA KWA WAKATI

Posted on: January 30th, 2026

Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilemela Bi. Mariam Msengi amewataka viongozi na watendaji wa chama cha ushirika Nyanza kuwasimamia wakulima wa zao la pamaba ili wapate pembejeo kwa wakati, haraka na kwa urahisi kama yalivyo malengo ya kuanzishwa kwa chama hicho.

Bi. Msengi ametoa wito huo leo Januari 30, 2026 wakati akifungua mkutano wa 34 wa chama kikuu cha ushirika cha Nyanza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda katika ukumbi wa Bomani.

Ameendelea kwa kuwasisitiza viongozi kuwa wawazi kwa wanachama kwa kutumia mifumo ya kidigitali katika upimaji na uuzaji wa zao la pamba kama jinsi ambavyo serikali inaelekeza.

"Niwasihi viongozi wa vyama vya ushirika kuhakikisha vipimo vya kidigitali vinatumika ipasavyo sambamba na kuendelea kutoa elimu kwa wakulima ili waweze kunufaika kikamilifu na mifumo hiyo." Amesema Bi. Msengi.

Aidha, ameongeza kuwa serikali inaendelea kusimamia kwa karibu mfumo wa stakabadhi za ghala katika uuzaji wa mazao ya mikunde kama choroko na dengu ili kuhakikisha kunakua na uimara wa ubora wa mazao pamoja na ushindani wa bei katika masoko.

Naye, Mrajisi wa vyama vya Ushirika Mkoa wa Mwanza Bi. Hilda Boniface amewataka wakulima wa pamba kuandaa mazao kwani chama cha Nyanza kinakwenda kufungua kiwanda cha kuchakata zao hilo katika halamashauri ya Wilaya ya Magu.

Sambamba na hilo amewataka wananchama kuchangia katika mambo amabyo yanaweza kujenga na kuleta maendeleo katika chama ikiwa ni sambamba na kutoa michango kwa wakati na kutatua migogoro yote inayotokana na vyama vya kimsingi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • NYANZA YATAKIWA KUHAKIKISHA PEMBEJEO ZA PAMBA ZINAWAFIKIA WAKULIMA KWA WAKATI

    January 30, 2026
  • WAKULIMA WATAKIWA KUTUMIA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA KUKUZA UCHUMI

    January 30, 2026
  • USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO UNAHITAJI UWAJIBIKAJI WA PAMOJA

    January 30, 2026
  • WANANCHI MWANZA WATAKIWA KUCHANGAMKIA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 30, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.