• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

FUNGUENI BENKI YENU YA USHIRIKA MAPEMA MUONGEZE MAPATO: RC MAKALLA

Posted on: October 24th, 2023

FUNGUENI BENKI YENU YA USHIRIKA MAPEMA MUONGEZE MAPATO: RC MAKALLA


Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija ameishauri Tume ya Maendeleo ya Ushirika kuharakisha uanzishwaji wa Benki ya Ushirika ili kuwa na chombo imara cha kiuchumi.

Akizungumza Jumatatu hii kwenye viwanja vya Furahisha kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wakati wa ufunguzi wa wiki ya Vyama vya Ushirika wa akiba na mikopo,amesema hakuna sababu ya kuchelewa kuwa na Benki wakati uwezo wa kuwa na Taasisi hiyo wanao.

"Kisheria  kuwa na Benki lazima uwe na mtaji wa Sh Bilioni 15 lakini najua sasa mmekaribia kufikia kiwango hicho, fanyeni juu chini mfikie malengo hayo ili mjenge chombo imara cha kiuchumi hapa nchini." Ludigija.


Amesema amesikia taarifa ya baadhi ya Saccoss zimekopesha zaidi ya Shs bilioni 100 na nyingine trioni moja ambayo ni ni hatua kubwa sana ya kimaendeleo.

Awali akitoa taarifa ya maendeleo ya Mkoa wa Mwanza, kaimu Katibu Tawala wa Mkoa Ndg.Daniel Machunda amesema wana jumla ya Saccoss 371 na wanachama 14,638 huku wakiwa na mtaji wa Shs bilioni 12.7.

"Ndugu mgeni rasmi vyama vyetu vya Ushirika wa akiba na mikopo vimekuwa msingi imara wa kuinua vipato vya wananachama wake ambapo kila mwaka mikopo ya Shs bilioni 12.5 hutolewa". Machunda.

Kuhusu maendeleo ya vyama vya Ushirika wa akiba na mikopo nchini, Mtendaji Mkuu wa taasisi hiyo Dkt. Benson Ndiege amesema sasa wanataka kutoa wigo zaidi kwa kila mwanachana kuwa na uwezo wa kujiunga na Saccoss nyingi tofauti na sasa kuwa moja pekee.

"Nimetembelea baadhi ya nchi hapa Afrika na Ulaya wenzetu wamepiga hatua zaidi na kuwa na wanachama wengi kutokana na namna walivyoziboresha,ni wajibu wetu kufanya mageuzi hayo",Dkt.Benson

Kilele cha wiki ya Vyama vya Ushirika wa akiba na mikopo ni Oktoba 26 mwaka huu ambapo Tanzania inajumuika na Mataifa mengine ulimwenguni kusheherekea.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.