• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Halmashauri Misungwi wapewa siku 90 kuwasilisha michango Mfuko wa Hifadhi ya Jamii

Posted on: June 27th, 2022


Mhandisi Robert Gabriel, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza amewapa siku 90 Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kuhakikisha wanapeleka Michango ya watumishi ya zaidi ya Tshs Bilioni 2 kwenye Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa mujibu wa sheria ili kuepusha Migogoro.

Mhe Mkuu wa Mkoa ametoa rai hiyo mapema leo jumatatu wakati wa Mkutano wa Baraza Maalum la Madiwani lililokutana kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na kubaini kuwa mwaka 2015/16 Halmashauri hiyo haikuwasilisha michango ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii pamoja na wanachama kukatwa fedha.

"Huo ni uzembe mkubwa na ndipo changamoto ilipo, hata kama jambo hilo limekwama Hazina lakini mmepeleka barua zamani sana yaani tangia mwaka 2015 hamjafuatilia kwenye ofisi husika kujua tatizo liko wapi ili kufuta hoja, na kote nilikopita hapa ndio nasikia kuna hoja ya namna hii." Mkuu wa Mkoa.

Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali Mkoa wa Mwanza, Waziri Shabani amefafanua kuwa asili ya hoja hiyo ni kuwa Halmashauri ilikua inalipa mishahara yenyewe  na ilikua inawakata fedha watumishi kwa ajili ya michango hiyo lakini haikuwasilisha kwenye mifuko husika.

Hata hovyo, ndugu Waziri amesema Mwaka 2020/21 Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ilifanyiwa ukaguzi na kupata Hati Inayoridhisha na kwamba kuanzia 2013/14 hadi 2020/21 Halmashauri hiyo imekua na jumla ya hoja 30  ambazo hazijatekelezwa kikamilifu na hazijafungwa.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bwana Benson Mihayo amesema mwaka 2020/21 Halmashauri hiyo ilikaguliwa na kupata Hati safi ikiwa ni matunda ya ushirikiano kati ya Halmashauri, Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na malelekezo kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa katika kuhakikisha wanaendesha Taasisi hiyo kwa mujibu wa Sheria.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.