• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

"Jiridhisheni na ubora wa miradi na thamani - Ngusa Samike

Posted on: November 12th, 2021

Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ngusa Samike amefanya ziara Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.

Akizungumza wakati wa ukaguzi wa miradi alipokuwa katika mradi wa Shule ya Sekondari Walla  akikagua ujenzi wa madarasa 5 amewataka kuongeza kasi ya ujenzi wa miradi hiyo na kuzingatia ubora katika usimamizi.

"Niwatake kuhakikisha mnazingatia ubora na thamani halisi ya miradi wakati wa ujenzi simamieni vizuri fedha za Serikali na zingatieni muda uliopangwa ili kukamilisha kwa wakati," alisema Samike.

Akiwa katika Kata ya Walla kukagua mradi wa ujenzi wa daraja, Samike amewataka wakandarasi kusimamia vizuri ili kukidhi ubora wa mradi.

"Nimerishwa na jinsi ujenzi wa daraja hili unavyoendelea Mkandarasi naomba uendelee na usimamizi mzuri ili daraja hili liwe na ubora na likamilike kwa wakati."

Katika kuhakikisha ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa Shule ya sekondari Bungulwa na vyumba 5 Shule ya Sekondari Ngulla pamoja na  maandalizi ya ujenzi wa Kituo cha Afya Kijiji cha Isunga  Kata ya Bungulwa vinakamilika Samike amewataka wasimamizi wa miradi hiyo kuhakikisha wanapata vifaa kwa wakati na kupanga majengo katika mipangilio sahihi ili kutunza mazingira kwa kupanda miti ya matunda na vivuli.

Hata hivyo,Samike  amefika  Bugunga na kukuta ujenzi wa tanki la maji unaendelea ambapo Mhandisi amewaahidi wananchi kuwa ifikapo Desemba wananchi wa eneo hilo na maeneo ya jirani  watapata maji safi na salama.

" Nitarudi Desemba ili kujiridhisha kama wananchi wa Kata ya Malya kijiji cha Bugunga wanapata maji kama wataalamu walivyotuahidi," alisema Samike.

Aidha, amekamilisha ziara yake kwa kuongeza na watumishi wa Halmashauri hiyo na kuwasikiliza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 05, 2021
  • Tangazo kuhusu uhamisho wa ndani na nje ya Mkoa wa Mwanza. January 05, 2021
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 February 05, 2021
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC Mwanza azindua msimu wa manunuzi zao la Pamba 2022/2023,atangaza bei elekezi Shilingi 1560

    May 20, 2022
  • RAS Mwanza afanya ukaguzi Sekta ya Afya Wilayani Ukerewe,ahimiza umakini kazini

    May 18, 2022
  • RC-MWANZA Azindua Chanjo ya Matone ya Polio Ukerewe

    May 18, 2022
  • Mkuu wa Mkoa Mwanza azikumbusha Familia kuzingatia wajibu wa Malezi kwa watoto

    May 15, 2022
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.