• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Kiwanda cha kuchakata madini chajengwa Mwanza

Posted on: May 18th, 2020

Kukamilika kwa ujenzi wa kiwanda cha kuchakata dhahabu kinachojengwa mkoani Mwanza na mkandarasi mzawa wa kampuni ya Aqe Assogate Ltd kwa thamani ya shilingi bilioni 2.6 kutasaidia kuondoa wizi na utoroshaji wa dhahabu ambazo zilikuwa zikipelekwa nchi za nje na kuikosesha serikali mapato.

Hayo ameyasema Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo wakati  akikagua ujenzi wa kiwanda hicho cha kuchakata dhahabu  kinachojengwa jijini humo kwa lengo la kudhibiti utoroshwaji wa dhahabu kwenda nje ya nchi kuchakatwa huku ujenzi huo ukisimamiwa na shirika la madini la taifa  STAMICO

Alisema uchakataji huo ukifanyika nchini ajira zitaongezeka  na kutoa dhahabu katika kiwango kinachokubalika kimataifa pia mradi huo unatekeleza maandiko ya sheria na msimamo wa Rais kuhusu yaliyokuwa yakifanyika kupeleka ajira nje.

“Kwa sasa tumezuia tunaanzisha viwanda katika nchi yetu na kuchakata malighafi zetu na dhahabu isiondoke katika udafi sambamba na kuzuia utoroshwaji”alisema Nyongo.

 Akitoa taharifa ya ujenzi huo mkurugenzi wa shirika la madini la taifa Venance Mwisse amesema,thamani ya mradi wote mpaka kukamilika na uwekaji wa  vifaa vya kuchakata dhahabu na ujenzi wa jengo hilo utaghalimu jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 133.4.

Naye Mkandarasi wa ujenzi wa kiwanda hicho Libaan Yasiri ambaye ni Mkurugenzi wa  Aqe Assogates Ltd  amesema, wanatarajia kukamilisha ujenzi huo kwa wakati na hadi sasa umefika asilimia 40 na unatarajiwa kukamilika mwezi Septemba mwaka huu na kuanza uzalishaji mwezi Desemba.

Aliongeza kuwa mradi huo utatoa ajira ya moja kwa moja kwa watu 88 huku wa muda wakitarajiwa kuwa 200 wote wakiwa watanzania kasoro wataalamu saba wataoshiriki hatua ya za mwanzo .

Naye Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella alisema ndani ya miezi miwili wamefanya kazi kubwa ambayo inachochea na kuhamasisha idara zingine kubadilisha staili na kufanyakazi kwa bidii aliongeza kuwa ujenzi huo inatimiza ndoto ya Rais na kukuza na kuleta mianya yenye tija kwa wananchi.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.