• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mwanza Yatoa Tahadhali ya ugonjwa wa Ebola

Posted on: May 17th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amewataka Maofisa afya, waganga wakuu wa wilaya, kamati ya ulinzi na usalama,viongozi wa bandari na viwanja vya ndege kuhakikisha wanajikita katika kudhibiti ugonjwa wa ebola.

Mhe. Mongella ameyasema hayo wakati wa kikao cha kamati ya huduma ya afya ya msingi ya kuhakikisha kuwa ugonjwa huo hauingii nchini  hasa Mwanza  kwa kuwa ni Mkoa ambao ni kitovu kikubwa cha biashara hivyo kuna muingiliano mkubwa wa watu kutoka nchi nyingine.

Mhe.Mongella ameagiza kuweka vifaa tiba maalumu katika vituovya afya na maeneo yenye msongamano  wa watu,pia vifaa hivyo vitawanywe ili kuweka tahadhali ya kuepuka ugonjwa wa ebola ambao ni hatari kwa sasa kwa kuwa tayari umeishaingia Nchi jirani.    

 " RMO vifaa tulivyo navyo visikae kwenye hospitali ya Mkoa tu bali visambazwe kwenye vituo vilivyopo maeneo hatarishi kama Nyegezi, Buzuruga,soko la Butimba  na maeneo mengine yenye watu wengi hapa tupo kuchukua hatua za kujikinga" alisema Mongella.

Naye Mratibu wa chanjo Mkoa wa Mwanza Amos Kiteleja alisema umakini unahitajika ili kutambua dalili zake ambazo baadhi ni homa za mara kwa mara, kutoka damu sehemu zote za mwili zilizo wazi (matundu) ikiwa upatikanaji wake waweza kuwa kwa kugusana, mate, damu, kinyesi na majimaji kutoka kwa mgonjwa, kujamiana na watu tofauti .

Akielezea changamoto zinazowakabili ni kutokuwa na kituo cha Kuhudumia wagonjwa wa milipuko ukiwemo wa ebola, ukosefu wa vifaa vya kujikinga wakati wa kutoa huduma, mwingiliano wa watu kutoka maeneo mbalimbali hasa soko la mwaroni pamoja na uelewa mdogo kwa jamii juu ya ebola, pamoja na  mila na desturi.

Kiteleja aliongeza kuwa  mpaka sasa maeneo ambayo ni hatari ni soko la mwaroni kirumba, uwanja wa ndege wa Mwanza, bandari, vituo vya mabasi ya abiria,ukerewe na visiwa vyote, nyumba za kulala wageni, waganga wa jadi, nyumba za ibada na maombezi pamoja na vituo vya kutolea huduma za afya.

Jumhuri ya kidemkrasia ya Congo (DRC) ndio ugonjwa ulipo kwa sasa na tayari wagonjwa 34 wamepatikana na vifo 18 ikiwa ni Sawa na asilimia 52.9 baada ya kuripotiwa kuwepo kwa ugonjwa huo mei 11 mwaka huu ukiwa ni mlipuko wa tisa katika miongo minne iliyopita.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.