• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

NI LAZIMA TUIHESHIMU NA KUITHAMANI AMANI TULIYONAYO - RC MTANDA

Posted on: March 18th, 2025

NI LAZIMA TUIHESHIMU NA KUITHAMANI AMANI TULIYONAYO - RC MTANDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa rai kwa Wananchi na wakazi wa Mkoa wa Mwanza kuendelea kuitunza, kuthamini na kuiheshimu amani iliyopo kwa kuwa ndio tunu ya Taifa.


Mkuu wa Mkoa ametoa rai hiyo Machi 20, 2025 wakati wa hafla ya iftari iliyoandaliwa na Tawi la Benki kuu ya Tanzania Mwanza ambapo amesema Amani ya Nchi yetu ndio msingi wa mafanikio tuliyonayo na tunayoyatarajia

Kadhalika Mhe. Mtanda ameendelea kwa kusema amani hiyo pia inachochewa na uwepo wa Viongozi imara na madhubuti wakiongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan hivyo kama Taifa hatuna budi kumuombea kila wakati ili Taifa liendelee kuwa na utulivu.

“Hata vitabu Vitakatifu vinatuambia kuwa tuheshimu mamlaka kwa maana mamlaka zote zinatokea juu, hivyo hatuna budi kumuheshimu na kumuombea Rais wetu”.

Sambamba na hayo Mkuu wa Mkoa amewapongeza Tawi la benki kuu Mwanza kwa kuwakumbuka Yatima, wenye mahitaji maalum na Wajane na kuwapa zawadi mbalimbali zitakazowasaidia katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan na Kwaresma.

Naye Mkurugenzi wa Tawi la Benki Kuu Tanzania Mwanza, Bi Gloria Mwaikambo amesema wataendelea kuimarisha uhusiano baina ya benki na wadau wao.

Kwa upande wake Sheikh wa Mkoa wa Mwanza Alhajj Hassan kabeke amewataka waislamu waliohudhuria iftari hiyo kuendelea kutenda matendo mema na kuachana na vitendo vya uvunjifu wa amani hususani katika kipindi hiki kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.