Swahili
  • English
  • Swahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Polisi mwanza Yawashikilia watuhumiwa wa utekaji na wezi sugu

Posted on: July 9th, 2019


Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia watumiwa sugu 46 wanaojihusisha na makosa mbalimbali  yakiwamo   unyanganyi, kupatikana na dola bandia ,wizi wa vifaa vya magari,utumiaji wa madawa ya kulevya.

Akizungumza na wandishi wa habari jana,  Kamanda wa Polisi  Mkoa wa  Mwanza, Jumanne Muliro alisema kati ya watuhumiwa hao wamo wahalifu sugu 21 wa matukio ya unyaganyi  wa injivi za wavuvi ndani ya Ziwa Viktoria katika  maeneo ya  kisiwa cha  Kunee, Bwiro, Kweru na Ilugwa, Bezi na Makoba  vilivyopo wilaya ya   Ukerewe na Ilemela.

Alitaja maeneo yalivamiwa na wahalifu hao ni visiwa vya Kasarazi, Zilagura, Iyozu na Maisome wilayani Sengerema ambapo watuhumiwa hao walikamatwa wakiwa na injini 21 za mitumbwi, nyavu haramu 195 na pikipik mbili.

“Katika msako huo kwa nyakati tofauti tumefanikiwa kuwakamata watuhumiwa sita wa makosa ya utapeli wa dolla bandia  za Marekani noti 599  ambapo kila moja ni dola 100.

“Vile vile tuliwakuta na noti 32 za Sh 10,000 za Tanzania  ambazo ni sawa na Sh 320, 000 kama zingekuwa  halali, watano kati ya hao walikamatwa wilayani Nyamagana  na mmoja aliyekuwa na dola alikamatwa Sengerema.

“Pia tumewakama wezi tisa wa vifaa vya magari  yaani vipuri kwenye makazi ya watu, walikutwa na ushahidi mbalimbali ikiwemo taa za magari, vitasa, radio za gari na  vioo,” alisema Muliro.

Aliwataja baadhi ya watu wanaoshikiliwa na kusubiria upelelezi ili kufikishwa mahakamani ni Muhoja Magendo, Peter Timoteo, Dotto Malemu, Mashaka Masanja, Emmanuel Zafania, Joseph Daniel, Fred Daniel, Oscar Haji, Samwel Paulo, Rajab Ibrahim, Tomas Christopher.

Wengine ni Phinias Elija, Shaban Nassoro, William Yamo, Issa Ngoreke, Elias john, Mariam Joseph, Yusuph Lukanyaka na Chausiku Wankuru.

Hata hivyo Kamanda Murilo alionya baadhi ya watu kutojihusisha na vitendo vya uhalifu na kuwataka kufanya shughuli zao halali.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MWANZA, SIMIYU ZANG'ARA UTAMILIFU DARASA LA SABA KANDA YA ZIWA

    May 30, 2025
  • RAS MWANZA AZINDUA RASMI MRADI WA KUPAMBANA NA UGONJWA WA SELI MUNDU

    May 30, 2025
  • WAANDISHI WA HABARI MWANZA WAPIGWA MSASA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA WATOTO WA MITAANI

    May 29, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUDUMISHA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.