• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Balandya aupokea Mradi wa kujitolea kutoka JICA

Posted on: November 20th, 2023

RAS Balandya aupokea Mradi wa kujitolea kutoka JICA


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndg. Balandya Elikana leo Novemba 20, 2023 ameupokea rasmi mradi wa kujitolea kutoka Shirika la Maendeleo la watu wa Japan (JICA) ambapo wataalamu wa fani mbalimbali watakuja Mkoani humo kwa lengo la kufundisha kuanzia shule za Sekondari hadi Vyuo.

Akizungumza na viongozi kutoka JICA kwenye ukumbi mdogo wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa pamoja na Wakurugenzi, Wakuu wa Idara za Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii kutoka Halmashauri za Nyamagana na Ilemela, Mtendaji huyo wa Mkoa amesema mradi huo ni muhimu katika harakati za kujiletea maendeleo kutokana na Taifa kuwa na wataalamu siku za usoni.

"Siri ya Taifa lolote kusonga mbele kiuchumi kwanza ni lazima liwekeze katika elimu ili kuwapata wataalamu mbalimbali watakao kuwa chachu ya kuinua uchumi",amesisitiza Balandya wakati akizungumza na wageni wa JiCA.

"Japan na Tanzania tuna miaka mingi ya ushirikiano  katika maeneo mbalimbali ikiwemo elimu,afya na miradi ya kiuchumi, kipindi cha Uviko 19 tulisimama lakini sasa tunaendelea", Nakagawa Haki, Mratibu wa mradi JICA.

Kwa upande wake Afisa mipango wa mradi huo Bi. Mbonisewa Mtambalike amebainisha wamefika Mwanza kuzungumza na wakuu wa maeneo husika kuanzia ngazi ya Halmashauri ili kutambua mahitaji yao kabla ya utaratibu mwingine kufuata ikiwemo kuomba kibali rasmi Tamisemi.

JICA ni Shirika la Maendeleo ya watu wa Japan ambao wamekuwa na ushirikiano na Tanzania kwa miaka 60.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.