• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Makalla atembelea rasmi Ofisi ya CCM Mkoa na kujitambulisha

Posted on: May 30th, 2023

*RC Makalla atembelea rasmi Ofisi ya CCM Mkoa na kujitambulisha*


 *Aahidi kutanguliza maslahi mapana ya CCM na ushindi wa chaguzi zijazo*


*Ahimiza mshikamano baina ya Serikali na CCM*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Amos Makalla ametembelea leo Ofisi za Chama cha Mapinduzi Mkoa kwa lengo la kujitambulisha na kuahidi kutoa ushirikiano wa kutosha baina ya Serikali na Chama.

Akizungumza na uongozi wa Chama hicho, Mkuu huyo wa Mkoa amebainisha mshikamano wa pamoja ndiyo utatimiza malengo yote kama Ilani ya Chama inavyotaka.

"Tangu nimeingia hapa kuanza rasmi kazi nimesema wazi bila kificho nitatanguliza maslahi mapana ya Chama cha Mapinduzi, nikitambua sisi viongozi  chimbuko letu ni CCM",Amesisitiza Mkuu huyo wa Mkoa.

Mhe.Makala amebainisha akiwa mjumbe wa Kamati ya siasa ya Mkoa atahakikisha chaguzi zote zilizopo mbeleni wanatoka na ushindi kuanzia ngazi zote.

Akizungumza kabla ya kumkaribisha Mkuu huyo wa Mkoa, Mwenyekiti wa CCM Mkoani Mwanza Mhe.Sixbeth Gichagu amesema wamefurahi kumpata Mkuu wa Mkoa ambaye anakijua kwa undani Chama hivyo uzoefu wake utakuwa chachu ya kufikia malengo ya Ilani ya uchaguzi.

"Binafsi Mhe.Mkuu wa Mkoa amenilea ndani ya Chama na amekuwa akinipa ari na maelekezo mbalimbali hadi nimefikia hatua hii ya nafasi ya Mwenyekiti". M/kiti CCM Mkoa.

Mhe.Amos Makalla ameshika nafasi mbambali ndani ya CCM ikiwemo Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana na Mhazini wa CCM Taifa na  hoja yake kukubaliwa kwa baadhi ya Mikoa yenye misuli ya kiuchumi kama Mwanza, Dar-es-Salaam na Arusha kujitegemea katika kujiendesha badala ya kutegemea ruzuku ya Chama.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.