• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA AZINDUA BOTI 5 ZA DORIA WILAYANI UKEREWE, KUSAIDIA KUZUIA UVUVI HARAMU ZIWA VICTORIA

Posted on: November 23rd, 2023

RC MAKALLA AZINDUA BOTI 5 ZA DORIA WILAYANI UKEREWE, KUSAIDIA KUZUIA UVUVI HARAMU ZIWA VICTORIA


*Kusaidia kuongeza Usimamizi wa Shughuli za Uvuvi na kuzuia Uvuvi haramu*


*Kusaidia kuongeza ukusanyaji wa Mapato  ya ndani ya Halmashauri*


*Zitasaidia kurahisisha usafiri na kuboresha shughuli za uokozi*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla leo novemba 23, 2023 amezindua Boti tano zilizokarabatiwa kwa zaidi ya Milioni 400 ambazo zitasaidia kufanya doria na kuongeza usimamizi wa shughuli za ziwani hususani kuthibiti uvuvi haramu.

Akizungumza na wananchi kwenye hafla hiyo Mhe. Makalla ameipongeza Halmashauri ya Ukerewe kwa kuchangia fedha zaidi ya Milioni 100 kwenye mradi huo kutoka kwenye fedha za mapato ya ndani kwani boti hizo ni nyenzo sahihi kwenye ukusanyaji wa mapato ya ndani ya halmashauri.

Amesema pamoja na shughuli za doria ziwani, boti hizo zitasaidia kurahisisha usafiri kwenye mwambao wa ziwa victoria na hasa uokozi wakati wa dharula na kwamba wananchi kwa ukusanyaji wa mapato wataboreshewa huduma zingine za kijamii kwenye sekta za Afya, elimu na kwingineko.

"Tuepuke kutumia mabomu na njia zingine haramu za uvuvi ili tulinde ziwa letu na rasilimali zilizomo kama Samaki," amesema Mkuu wa Mkoa wakati akifafanua kuhusu madhara ya Uvuvi haramu.


Aidha, Mkuu wa Mkoa ametumia wasaa huo kuwataka maafisa uvuvi na watendaji kutumia boti hizo kuwafikia wananchi visiwani na kutoa elimu ya kuhakikisha wananchi wanaachana na uvuvi haramu na utoroshaji wa Samaki badala yake wananchi wahamasishwe kufanya uvuvi wa kisasa.


"Lengo tulilojiwekea la kufikia kiwango cha  makusanyo kulingana na bajeti yetu litatimia kwa kutumia nyenzo hizi kwa mujibu wa matakwa yake na wala hatutazitumia kwa shughuli za anasa." Mwenyekiti wa Halmashauri, Mhe. Joshua Manumbu.

Katika wakati mwingine, Mhe. Makalla amekagua ujenzi wa jengo la halmashauri linalotekelezwa kwa zaidi ya Bilioni 3 na amewataka halmashauri hiyo kuongeza usimamizi ili kumaliza ujenzi kwa wakati ili wananchi wapate huduma kwenye jengo hilo la kisasa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.