• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AISHUKURU BAKWATA KWA KUANDAA DUA KWA AJILI YA RAIS SAMIA

Posted on: January 31st, 2025

RC MTANDA AISHUKURU BAKWATA KUANDAA DUA KWA AJILI YA RAIS SAMIA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amelishukuru Baraza la Waislamu Tanzania, (BAKWATA) kwa kuandaa Dua maalum nchi nzima kwa ajili ya kumuombea Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ili aendelee kuliongoza Taifa kwa hekima na kumuepusha na mabaya.

Dua hiyo iliyofanyika leo Januari 31, 2025 kwenye viwanja vya Bakwata eneo la Mbugani wilayani Nyamagana Mtanda amesema viongozi wetu wanahitaji kutiwa moyo kwani kazi ya kuliongoza Taifa ni kubwa hivyo inahitaji maombi kama hayo.

"Nitoe shukran za pekee kwa Mufti Zuberi bin Ali Mbwana kwa kutoa maelekezo haya ambayo leo tunayashuhudia yakitekelezwa mkoani kwetu,siku zote Dua ni chakula ya moyo pia ni ulinzi kwa lolote baya," amesisitiza mkuu huyo wa mkoa.

Mtanda amesema Rais wetu anaendelea kufanya mengi mazuri ya kujenga uchumi wa Taifa letu lakini pia wapo wachache wasiofurahishwa hivyo njia sahihi ni kuendelea kumuombea fua mara kwa mara hali ambayo itazidi kumuongezea ari ya kulitumikia Taifa kwa weledi.

"Tunaona mengi anayofanya Rais wetu,hapa Mwanza ametuletea miradi mingi ya maendeleo kuanzia sekta ya afya,elimu na miundombinu,tuna kila sababu ya kumuombea kiongozi wetu,"Hassan Kabeke,"Sheikh wa Mkoa wa Mwanza.

Dua hiyo iliyowajumuisha pia viongozi wa madhehebu mengine imeongozwa na  Sheikh Abuu Ladhwani.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAKUZI YA AWALI YA MTOTO MSINGI WA UJENZI WA TAIFA IMARA - RAS BALANDYA

    May 16, 2025
  • RC MTANDA AWAKARIBISHA MWANZA WANAFUNZI KUTOKA UGANDA

    May 15, 2025
  • RC MTANDA AKOSHWA NA BONANZA LA USHIRIKA NA MABENKI

    May 14, 2025
  • RAS MWANZA ATAKA UHAMASISHAJI CHAKULA CHENYE LISHE KUONGEZEKA SHULENI

    May 13, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.