• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA ASHUKURU MCHANGO WA SEKTA BINAFSI KWA JAMII, APONGEZA ULIPAJI KODI

Posted on: December 15th, 2024

RC MTANDA ASHUKURU MCHANGO WA SEKTA BINAFSI KWA JAMII, APONGEZA ULIPAJI KODI


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Comrade Christopher Ngubiagai ameahidi kuendeleza ushirikiano na sekta binafsi yakiwemo mazingira rafiki ya shughuli zao ili wawe walipa kodi bora na kuongeza pato la Taifa.

Akizungumza wakati wa utoaji wa misaada kwa jamii kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wakati wa sherehe ya kutimiza miaka 11 ya kampuni ya Usafirishaji ya Gaini Ltd Ngubiagai amesema Mwanza inajivunia mchango wao kukuza uchumi.

"Nawapongeza Gaini Co. Ltd kwa kuwa walipa kodi wazuri tena kwa asilimia 100 na sehemu ya faida yenu kuirudisha kwa jamii huu ni mfano wa kuigwa,na hii imechangiwa na Serikali ya awamu ya 6 ya kuwawekea mazingira mazuri sekta zote binafsi hapa nchini", Mkuu wa Wilaya.

Ameendelea kusema kuwa Mkoa wa Mwanza ambao unazidi kuimarika kwa vitega uchumi, wafanyabiashara watakuwa na fursa nzuri ya kuwekeza na kutanua wigo wa kazi zao na Mataifa ya jirani na nje ya nchi.

Ngubiagai katika sherehe hizo ameshiriki zoezi la utoaji wa mahitaji maalum kwenye kambi ya kulea wazee huko Misungwi, msaada wa mashine ya Photokopi, Viti 32 na meza kwenye shule ya Sekondari ya Nyakabungo na mabati 100 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 2 wilayani Ukerewe.

Kwa upande wake mkurugenzi wa Gaini Peter Chacha amesema vitu vyote hivyo vina thamani ya zaidi ya Tshs. milioni 15 na  wametoa kwa jamii katika sehemu ya faida wanazopata lengo likiwa ni kujenga upendo na ushirikiano na wananchi na kuondoa hali ya unyonge kwa wale wasiyo jiweza.

"Ndugu mgeni rasmi huu ni utaratibu tuliyo jiwekea wa kujenga ukaribu na jamii inayotuzunguka tukiamini mshikamano ndiyo silaha ya kusonga mbele na kupata mafanikio", Mkurugenzi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.