• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWATAKA RUWASA KUTUMIA MBINU MBADALA UUNGANISHAJI MAJI UKEREWE

Posted on: December 27th, 2024

RC MTANDA AWATAKA RUWASA KUTUMIA MBINU MBADALA UUNGANISHAJI MAJI UKEREWE


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo tarehe 27 Disemba, 2024 amekagua mradi wa Maji uliojengwa katika kijiji cha Bugula-Muriti kwa gharama za zaidi ya tshs. milioni 549 ambapo unalenga kuwanufaisha zaidi ya wananchi elfu saba katika vijiji vitano.

Akizungumza na wananchi baada ya ukaguzi huo Mhe. Mtanda amewataka Wakala ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kufanya tathmini ya kuongeza mtandao wa maji ili wananchi wa kijiji cha Ihebo ambacho ndipo kilipojengwa chanzo cha maji cha mradi huo yanapotoka waweze kuvuta maji hadi kwenye nyumba zao.

Aidha, ametoa wito kwa RUWASA kuona namna ya kuwaunganishia wananchi maji kwa kuchangia nusu gharama kisha malipo yanayobaki waendelee kulipa kwa kukatwa wakati watapokua wanalipia ankara za maji kwani kwa kufanya hivyo itaongeza msukumo wa wahitaji na hatimaye kutimiza lengo la Serikali.

"Wananchi wa kata hii ya Muriti msiwe na shaka maana Serikali inalenga kila mwananchi apate maji nyumbani kwake hivyo RUWASA wanakwenda kuweka utaratibu wa kuweza kuwafikia wote tena kwa gharama nafuu maana Serikali haifanyi biashara bali inatoa huduma." Mhe. Mtanda.

Akiwasilisha taarifa ya ujenzi wa mradi huo Meneja wa Wakala ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mhandisi Zubeda Said amesema utekelezaji wa mradi huo unahusisha tanki la lita 150, 000 vituo vya kuchotea maji pamoja na mtandao wa bomba wa Km 11.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.