• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

Posted on: May 3rd, 2025

UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA-  MSIGWA


Msemaji Mkuu wa Seiikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamadini, Sanaa na michezo Ndg, Greyson Msigwa amesema uzalishaji wa zao la Pamba mwaka huu 2024/25 umeongezeka kutoka tani 180,000 hadi 400,000 kutokana na jitihada za Serikali za mageuzi kwenye kilimo.

Akizungumza leo Mei 3, 2025 katika kipindi cha miaka minne katika kijiji cha Sayu mkoani Shinyanga, Msigwa amebainisha kuwa Rais Samia kwa kutambua umuhimu wa kilimo ameiongezea bajeti Wizara hiyo kutoka Tshs. Bilioni 200 hadi Trioni 1.

"Mhe Rais alisema bayana amedhamiria kuona kunakuwa na tija kubwa katika kilimo cha kisasa ili mkulima afaidike na kuongeza pato la Taifa kwa  uhakika",Msemaji wa Serikali'

Msigwa ameendekea kubainisha ongezeko hilo la bajeti limeboresha maeneo mbalilbali ikiwemo ununuzi wa ndege Nyuki kwa ajili ya upuliziaji wa dawa ya kuuwa wadudu shambani.

Hali kadhalika, amesema Maafisa ugani wameendelea kujengewa uwezo pamoja na kupatiwa vitendea kazi vya uhakika ili waweze kuwafikia wakulima na kuwajengea uwezo wa mbinu bora za kilimo.

Msigwa akiwa mkoani Shinyanga ametelmbelea uwanja wa ndege uliipo eneo la Ibadakuli unaojengwa na kampuni ya Chikov kwa gharama ya zaidi ya Tshs. bilioni 44 na kutarajiwa kukamilka Juni mwaka huu.

"Serikali imejenga shule maalum za waichana 26 nchi nzima lengo kuwapata wataalamu wengi Wanawake hususan kwenye michepuo wa Sayansi", Amesema Msigwa akiwa katika shule ya wasichana iliyopo Old Shinyanga iliyojengwa kwa Tshs. billoni 4 .

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RAS MWANZA ATAKA UHAMASISHAJI CHAKULA CHENYE LISHE KUONGEZEKA SHULENI

    May 13, 2025
  • RC MTANDA AIPONGEZA BONDE LA ZIWA VICTORIA KWA KUELIMISHA UMMA

    May 13, 2025
  • RC MTANDA ASISITIZA UIMARISHWAJI WA UMOJA NA MSHIKAMANO

    May 12, 2025
  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.