• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Sekta ya Biashara na Viwanda

1.1 SEKTA YA BIASHARA.

Mojawapo ya shughuli za kiuchumi zinazowapatia wananchi kipato na mahitaji yao ni kupitia biashara za aina mbalimbali. Baadhi ya biashara hizo ni pamoja na biashara za jumla, rejareja, viwanda, usafiri na usafirishaji, shughuli za utalii na hoteli na nyinginezo.

 

Jedwali Na. 1: Shughuli za Viwanda na Biashara Mkoani Mwanza

Na.
Shughuli
2015/16
         2016/17

Ongezeko

1
Wafanyabiashara wenye leseni
16,308

22,652

5,317

2
Viwanda vikubwa na vya kati
81

87

6

3
Masoko
44

44

0

4
Maghala
14

17

3

4
Elimu ya Biashara na ujasiriamali
2,485

5,431

2,946

5
Taasisi za fedha
27

29

2


Jedwali Na. 2: Mapato ya Ada za Leseni  na vyanzo vingine Mkoa wa Mwanza kwa Mwaka 2016/17.


Na

Halmashauri

Idadi ya Leseni

Ada za Leseni

Ushuru wa Hoteli

Ada za Vileo

1.

Jiji

9,203
1,600,599,216
175,923,226
47,832,463

2.

Ilemela

6,128
717,601,557
261,477,700
45,388,390

3.

Buchosa

2,715
91,859,050
22,090,980
5,859,300

4.

Ukerewe

1,179
80,888,891
0
6,767,725

5.

Magu

708
47,818,544
24,691,254
8,577,000

6.

Kwimba

1,005
72,540,840
0
3,182,000

7.

Sengerema

784
84,290,000
0
2,840,000

8.

Misungwi

933
45,013,853
7,280,000
3,480,000

        Kimkoa

22,652
2,740,611,951
492,463,160
492,463,160


 

 

1.2 SEKTA YA VIWANDA

Kwa mujibu wa sera ya viwanda na biashara ya Mwaka 2003 na mazingira ya Tanzania jedwali lifuatalo linaonesha makundi ya Viwanda ili kubaini viwanda vidogo sana, viwanda vidogo, viwanda vya kati na viwanda vikubwa.

Na
Makundi ya Viwanda

Idadi ya wafanyakazi

Mtaji wa uwekezaji (Milioni)

1
Kiwanda kidogo sana

1 hadi 4

1 hadi 5

2
Kiwanda kidogo

5 hadi 49

5 hadi 200

3
Kiwanda cha kati

50 hadi  99

200 hadi 800

4
Kiwanda kikubwa

100 na zaidi

800 na zaidi


              Viwanda vya kati na vikubwa vilivyopo Mkoani Mwanza.

Na.

Halmashauri

Idadi ya Viwanda

1

Jiji

22

2

Ilemela

30

3

Magu

16

4

Kwimba

6

5

Sengerema

4

6

Buchosa

4

7

Ukerewe

10

8

Misungwi

6

=

Jumla

92


             Viwanda vidogo na vidogo sana vilivyopo Mkoani Mwanza.

Na.

Halmashauri

Idadi ya Viwanda

1

Jiji na Ilemela

378

2

Magu

102

3

Kwimba

16

4

Sengerema na Buchosa

52

5

Ukerewe

27

6

Misungwi

14

=

Jumla

589

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.