• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Baraza la Wafanyakazi lafanyika Mwanza

Posted on: June 5th, 2020


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella  amefungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi kilichofanyika  katika ukumbi wa Ofisi hiyo na kuwakumbusha wajumbe kuwa baraza la wafanyakazi ni kiunganishi kati ya Menejimenti na wafanyakazi.

"Wajibu wa mabaraza kama chombo cha ushauri na usimamizi ni kuhakikisha kuwa waajiri na watumishi wanatambua wajibu na haki zao,pia wanazingatia maadali ya utumishi wao ili kuleta matokeo ya utendaji yenye tija,staha na upendo,"alisema Mongella.

Awali akitoa ufafanuzi wa umuhimu wa kikao cha baraza la wafanyakazi Mhe.Mongella amesema kipo kisheria kwa lengo la kuishauri Serikali katika ngazi za idara na taasisi kuhusu usimamizi wa kazi na rasilimali watu,utekelezaji wa majukumu,kulinda haki na wajibu wa mwajiri n wafanyakazi,kutoa ushauri kuhusu kujenga hali bora za kazi,maslahi ya wafanyakazi na kusimamia haki na ustawi katika sehemu za kazi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. May 30, 2023
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2023 May 30, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AAGIZA KUUNDWA KWA KAMATI KUFUATILIA WIZI WA VIFAA TIBA BUCHOSA

    June 05, 2023
  • RC Makalla awataka Madiwani Misungwi kusimamia Miradi ya Maendeleo

    June 03, 2023
  • RC MAKALLA AWATAKA MADIWANI KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2023
  • RC Makalla ahimiza kutanguliza uzalendo mradi wa SGR

    June 02, 2023
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 33180, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.