• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

CMG KUKUSANYA ZAIDI YA BILIONI 1 KUBORESHA MAISHA YA WATOTO VILLAGE OF HOPE MWANZA

Posted on: March 7th, 2025

CMG KUKUSANYA ZAIDI YA BILIONI 1 KUBORESHA MAISHA YA WATOTO VILLAGE OF HOPE MWANZA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo tarehe 07 Machi, 2025 ametembelea kituo cha malezi ya watoto wenye mahitaji maalumu cha Village of Hope kilichopo Nyegezi Jijini Mwanza kukagua maendeleo ya kituo hicho.

Akizungumza baada ya ukaguzi, Mhe. Mtanda amewapongeza kwa kuanzisha kampeni ya Ndoto za Taifa inayolenga kuboresha miundombinu ya padarasa, mabweni, matundu ya vyoo na maji kwa kushirikiana na Kituo cha Habari cha Clouds Media Group (CMG)

Mhe. Mtanda amesema kampeni hiyo inaonesha kujali watoto wenye mahitaji maalum na akatumia wasaa huo kuwapongeza CMG kwa kuitangaza ili kuchagiza wadau mbalimbali kushiriki kuchangia ndoto za watoto hususani afya na lishe.

Akisoma risala ya Village of hope Bi. Grace Obandu amewashukuru CMG kwa kufufua matumaini mapya na kudumisha kwa watoto yatima na wenye mahitaji maalumu kwa kuamua kushirikiana nao katika kuboresha miundombinu ambapo zaidi ya watoto 1300 wanahudumiwa kwa vituo viwili vya Mwanza vya Nyegezi na Bulale - Buhongwa.

"Kituo chetu kilianza Januari 2012 chini ya msaada wa wahisani kutoka makanisa ya Pentekoste ya nchini Canada kwa lengo la kusaidia watoto kutimiza ndoto za maisha kupitia malezi ya kiroho na kiakili." Bi. Grace.

Mwakilishi wa CMG Kanda ya ziwa Malkia Sarah Onesmo amesema wao kama kitovu cha maarifa wana furaha kushirikiana na Serikali katika kuchangia maendeleo ya watoto chini ya mwamvuli wa Moyo wa Mawingu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAKUZI YA AWALI YA MTOTO MSINGI WA UJENZI WA TAIFA IMARA - RAS BALANDYA

    May 16, 2025
  • RC MTANDA AWAKARIBISHA MWANZA WANAFUNZI KUTOKA UGANDA

    May 15, 2025
  • RC MTANDA AKOSHWA NA BONANZA LA USHIRIKA NA MABENKI

    May 14, 2025
  • RAS MWANZA ATAKA UHAMASISHAJI CHAKULA CHENYE LISHE KUONGEZEKA SHULENI

    May 13, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.