• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MAGODORO 219 YAFARIJI WANAFUNZI SUMVE SEKONDARI

Posted on: January 20th, 2026

Kufuatia ajali ya moto iliyotokea Novemba 20, 2025 na kuunguza mabweni mawili ya Shule ya Sekondari Sumve, juhudi za pamoja zimeendelea kuleta matumaini mapya kwa wanafunzi wa shule hiyo.

Akizungumza leo Januari 16, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amempongeza Katibu Tawala wa Mkoa huo Bw. Elikana Balandya kwa jitihada zake za kutafuta wadau na wahisani waliowezesha upatikanaji wa msaada kwa shule hiyo.

Kupitia mchango huo, magodoro 219 yenye thamani ya shilingi milioni 10. 5 yamekabidhiwa kwa uongozi wa shule ambapo kila godoro lina thamani ya shilingi 48,000.

Mhe. Mtanda amesema msaada huo utasaidia kurejesha mazingira bora ya malazi kwa wanafunzi walioathirika na tukio hilo la moto.

Aidha, amewashukuru wadau mbalimbali waliotoa mchango wao pamoja na wananchi wa eneo la Sumve kwa ushiriki wao wa haraka katika kuzima moto hatua aliyosema imepunguza madhara zaidi.

Amesisitiza kuwa mshikamano huo ni mfano wa kuigwa katika kukabiliana na majanga na kuunga mkono sekta ya elimu.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA AINGILIA FEDHA MIL.79 ZA HOSPITALI YA UKEREWE, ATOA SIKU 3 KWA MKAGUZI

    February 09, 2026
  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127

    February 09, 2026
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI

    February 09, 2026
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU

    February 06, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.