• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MGANGA MKUU WA MKOA AKABIDHIWA RASMI OFISI AAHIDI USHIRIKIANO NA WELEDI WA KAZI

Posted on: July 8th, 2024

MGANGA MKUU WA MKOA AKABIDHIWA RASMI OFISI AAHIDI USHIRIKIANO NA WELEDI WA KAZI


Aliyekuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ambaye kwa sasa amehamishiwa Mkoa wa Dodoma Dkt. Thomas Rutachunzibwa amekabidhi rasmi Ofisi kwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba aliyehamishiwa mkoani humo akitokea Mkoa wa Kigoma.

Akizungumza leo Julai 8 mara baada ya kukabidhiwa Ofisi Dkt. Lebba ameonesha kufurahishwa na mapokezi mazuri kutoka kwa wenyeji wake huku akisisitiza ushirikiano na kufanya kazi kwa weledi ili kuzidi kutoa huduma bora katika sekta ya afya.

"Mimi niwaombe tuendelee kushirikiana zaidi na zaidi, ninajua mna ushirikiano lakini tuongeze"Mganga mkuu

Aidha Mganga Mkuu huyo amewataka viongozi na wasimamizi mbalimbali wa Idara ya afya walioshiriki katika makabidhiano ya ofisi kuendelea kufanya kazi kama timu kwani kwa kufanya hivyo inarahisisha kazi.

"Tuongeze kasi ya mafanikio zaidi, tufanye kazi zenye matokeo halisi lakini pia tufuate sheria, taratibu na kanuni". Amesema Dkt. Lebba.

Naye aliyekuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Thomas Rutachunzibwa amesema anaamini ameiacha ofisi katika mikono salama kwani anamfahamu vizuri Dkt. Lebba na anamini katika ufanisi wa utendaji kazi wake hivyo ametaka apatiwe ushirikiano wa kutosha.

"Ninaamini tulishirikiana vizuri sana na ninawaombeni mumpatie ushirikiano wa kutosha Dkt. Lebba kama mliokuwa mkinipatia mimi".Dkt. Rutta

Aidha Dkt. Lebba ameitambulisha rasmi kauli mbiu watakayokuwa wakiitumia katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku isemayo "Mwanza Safi ya Kijani" kwa kuwataka wasimamizi wote wa afya katika ngazi zote kuhakikisha maeneo wanayoyasimamia wanapata rangi ya kijani tu ambayo inaashiria kufanya vizuri.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.