• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MIRADI YA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA MAJISAFI NA MAZINGIRA YAKABIDHIWA

Posted on: November 29th, 2024

MIRADI YA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA MAJISAFI NA MAZINGIRA YAKABIDHIWA


Katibu Tawala wa Wilaya Misungwi Bw. Josaphati Mshaghati amewataka Wananchi kutunza na kulinda miundombinu ya afya inayotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na washirika mbalimbali ili iweze kudumu kwa muda mrefu na iwahudumie wakazi wa maeneo hayo Kwa muda mrefu.


Katibu Tawala huyo ameyasema hayo Novemba 28, 2024 wakati akizindua mradi wa Xylem Watermark chini ya Shirika losilo la Kiserikali la Americares katika Zahanati ya Sanjo iliyopo Kata ya Usagara Wilayani Misungwi, alipokuwa akimuwakilisha Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza.

Ameongeza kuwa katika jitihada  zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita ni kuhakikisha kuwa wananchi wanaboreshewa miundombinu Afya na kufungua milango kwa wafadhili mbalimbali.

"Tunawashukuru wafadhili wetu Kwa kazi kubwa lakini pia muangalie na maeneo mengine yenye changamoto mbalimbali za kiafya kwani uwepo wenu katika Mkoa wetu huu una tija kubwa kwa maendeleo ya Serikali na wananchi wake".

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba ameushukuru Uongozi wa Shirika la Americares kwa kuendelea kuisaidia sekta ya Afya hususani kwa vituo mbalimbali vya Afya.

Watumishi wa Afya tuzingatie ubora wa huduma, kama Mkoa tunaendelea kufanya jitihada ili tulete maombi ya vituo vingine,  kinachotakiwa sasa hivi ni ubora wa huduma, uwepo wa miundombinu kama ya Majisafi na salama katika vituo vya Afya kutasaidia kuboresha huduma kwa wananchi. Ameongeza Dkt. Leba

Shirika lisilo la Kiserikali la Americares limefadhili vituo mbalimbali ikiwa ni pamoja na Zahanati ya Lumala iliyopo Wilaya ya  Ilemela, Zahanati ya Sahwa iliyopo Wilaya ya  Nyamagana, Zahanati ya Sanjo iliyopo Wilaya ya Misungwi, Zahanati ya Kiliwi ipo katika Wilaya ya Kwimba, kituo Cha Afya Cha Sima kilichopo Wilaya ya Sengerema na kituo cha Afya cha Nyakalilo kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.