• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS BALANDYA AHIMIZA MAONI BORA SERA YA UCHUKUZI KWA MAENDELEO YA TAIFA

Posted on: November 15th, 2024

RAS BALANDYA AHIMIZA MAONI BORA SERA YA UCHUKUZI KWA MAENDELEO YA TAIFA


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana leo Novemba 15, 2024 amefungua kikao cha kupokea maoni kuboresha sera ya uchukuzi na kuwahimiza washiriki kutoa maoni kwa uwazi yatakayoleta tija ya maendeleo nchini.

Akizungumza na washiriki hao kwenye ukumbi wa Rock City Mall Mtendaji huyo wa Mkoa amebainisha kuwa eneo la uchukuzi linalojumuisha usafiri na usafirishaji linagusa uchumi wa nchi hivyo mchango wa maoni yao utakwenda kuboresha sehemu zote zilizoonesha mapungufu.

"Nawashukuru Wizara ya Uchukuzi kwa kufanya zoezi hili, sisi hapa Mwanza yapo maeneo muhimu ya kiuchumi kama uwanja wa ndege, usafiri wa Meli na ule wa treni ya kisasa SGR yote hayo yanajitaji kupata muingiliano mzuri na Mataifa mengine ili kukuza uchumi wa nchi na maendeleo ya wananchi",Balandya.

Aidha amewataka washiriki hao kutoka makundi mbalimbali  Serikalini na sekta binafsi kuona umuhimu wa sekta hii ambayo inachagiza ukuaji wa sekta nyingine ambapo mwaka 2022 ilikuwa kwa   asilimia 3.80 na kuchangia pato la Taifa 6.70%.

"Sera ya mwaka 2003 baada ya kufanyika tathmini mwaka jana imegundulika na mapungufu kadhaa ambayo yanapaswa kufanyiwa kazi kwa lengo la kuboresha sekta ya uchukuzi,"Bi Devotha Gabriel, Mkurugenzi ufuatiliaji na tathmini, Wizara ya Uchukuzi.

Washiriki hao wanaotokea  sekta ya usafiri na usafirishaji wanatoka mikoa ya kanda ya ziwa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.