• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS BALANDYA AZITAKA HALMASHAURI KUTEKELEZA KWA WELEDI MRADI WA USAID KIZAZI HODARI

Posted on: November 13th, 2024

RAS BALANDYA AZITAKA HALMASHAURI KUTEKELEZA KWA WELEDI MRADI WA USAID KIZAZI HODARI


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana amefungua kikao kazi cha mrejesho wa mradi wa USAID Kizazi Hodari Kanda ya Kaskazini Mashariki unaolenga kuboresha na kuimarisha afya na ustawi wa watoto, vijana na kaya zao walioathiriwa na virusi vya ukimwi na kuzitaka halmashauri zote zilizopitiwa na mradi huu kutekeleza kwa weledi ili kufikia malengo.

Akizungumza leo Novemba 13, 2024 na wadau wa mradi huo wakiwemo wasimamizi wakuu Kanisa la Kilutheri (KKKT) makao makuu kwenye ukumbi mkubwa wa Ofisi ya mkuu wa mkoa, Balandya amesema Serikali inatambua mchango wa wadau wa maendeleo katika kuwapatia huduma bora wananchi, hivyo ni wajibu kuendelea kuwapa ushirikiano.

"Nawapongeza kwa kuvuka malengo mliyojiwekea kutoka idadi mliyojiwekea ya walengwa 44,768 na kufika48,790 sawa na asilimia 109", Balandya.

Vilevile, amezipongeza Halmashauri za Jiji la Mwanza na Sengerema kwa kuingia kwenye kumi bora za zilizofanya vizuri miongoni mwa Halmashauri 184 na kuzitaka nyingine ziige mfano huo.

Awali, akimkaribisha mgeni rasmi Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba amebainisha wameweka mikakati kwa waganga wakuu wote wa Wilaya kuhakikisha mpango wa afya, lishe, msaada wa kisaikolojia na huduma zote stahiki kwa watoto kuanzia umri wa 0-17 na vijana kuanzia 18-20 vinafanywa vizuri.

Mradi huo wa USAID Kizazi Hodari unatekelezwa katika mikoa 9 ukiwemo Mwanza na malengo ya mwaka 2025 ni kuwafikia walengwa 58165.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.