• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Mwanza afanya ziara ya ukaguzi wa Huduma Sekta ya Afya Wilaya za Mwanza na kutoa maagizo

Posted on: May 12th, 2022

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza,Ngusa Samike amefanya ziara ya ukaguzi wa Miradi ya Afya na Vifaa Tiba katika Halmashauri ya Buchosa Wilayani Sengerema na Misungwi Mkoani Mwanza na kutoa maelekezo ya marekebisho ya haraka.


Akiwa Halmashauri ya Buchosa Katibu Tawala Samike ameutaka uongozi wa Halmashauri ya Buchosa kuhakikisha Vituo vyote vya Afya vilivyokamilika kuanza kutoa huduma haraka ili kuwapunguzia kutembea umbali mrefu Wananchi.


Aidha ametoa maagizo kwa Mganga Mkuu wa Wilaya ya Sengerema,Irene Mukere kuhakikisha Vituo vyote vya Afya vinatumia mfumo sahihi wa Serikali wa ukusanyaji malipo.



"Tusiombe dawa nyingi kutoka Bohari Kuu ya Serikali tofauti na mahitaji, hali hii inasababisha hasara kutokana na dawa kukaa muda mrefu na kuchina"



Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Buchosa,Julius Mlongo amesema baada ya ziara hiyo ya Katibu Tawala Mkoa sasa ni jukumu letu kuzifanyia kazi changamoto zote zilizojitokeza katika Miradi ya Serikali ili kuwaletea Maendeleo Wananchi.


Akiwa Wilayani Misungwi katika ziara yake ya ukaguzi wa Huduma za Afya,Vifaa Tiba na utendaji kazi,Katibu Tawala Ngusa Samike ameupongeza uongozi wa Halmashauri hiyo kwa kujenga Hospitali,Vituo vya Afya na Zahanati kwa haraka na usahihi mzuri wa gharama.


Aidha ametoa maagizo ya kutumiwa kila mwezi taarifa ya Maendeleo ya miradi ya Afya na ili kuona mabadiliko chanya ya ziara yake.


Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Misungwi Benson Mihayo amesema wamejipanga  kuhakikisha fedha zote zilizotolewa na Serikali upande wa Maendeleo ya Afya wanazisimamia vizuri.


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza,Ngusa Samike anafanya ziara ya ukaguzi wa Huduma za Afya na Vifaa Tiba Wilaya zote za Mkoa huo  ambapo tayari amezikagua Wilaya tatu za Kwimba,Sengerema na Misungwi na kutoa maagizo ya utekelezaji wa changamoto alizozibaini.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.