• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS MWANZA AWATAKA WADAU WA MAAFA KUWA NA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NINO

Posted on: September 25th, 2023

RAS MWANZA AWATAKA WADAU WA MAAFA KUWA NA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NINO


Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji Emily Kasagara amewataka wadau wa Maafa Mkoani Mwanza kujiandaa kwa kina kukabiliana na maafa ya mvua za El Nino zinazotarajiwa kunyesha siku za usoni ili kuwa na namna bora ya kuwalinda ili jamii isiangamie.

Akifungua leo tarehe 25 Septemba 2023 kikao kazi cha kujadili masuala ya maafa chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Menejimenti ya Maafa kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa, Kasagara amesema ni lazima kamati za Maafa katika ngazi zote kuwa na mkakati kabambe wa kukabiliana nazo.

Aidha, ametoa wito kwa wadau hao watakaoketi kwa siku mbili za mjadala mzito wa namna ya kukabiliana na majanga kuchangia uzoefu wao na utaalam wao kwenye namna gani wanaona inafaa kukabiliana na hali hiyo itakapotokea na wafikishe elimu kwenye jamii ili kuikinga kwa pamoja.

Naye, Ndg. Prudence Costantine, Mkurugenzi wa Maafa kutoka Idara ya Menejimenti ya maafa-Ofisi ya Waziri Mkuu amesema Serikali kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa tarehe 24 Agosti, 2023 ilitoa utabiri ulioonesha kwamba kutakua na Mvua za wastani na juu ya wastani (El Nino) kwa mikoa kadhaa nchini ukiwemo Mkoa wa Mwanza hivyo ni lazima wadau wajiandae kukabiliana nazo.

"Tunaweza tukapata maafa kama magonjwa na vinginevyo kutokana na mvua hizo na ndio maana ofisi ya Waziri Mkuu ikaona ije na mpango wa kukabiliana na maafa hayo na hadi sasa wataalamu mbalimbali wamesambaa kwenye mikoa mbalimbali kuketi pamoja na kamati za maafa za mikoa hiyo kuona namna ya kukabiliana." Amesema Costantine.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.