• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AMTAKA MKURUGENZI WA JIJI MWANZA KUSONGA MBELE KAMPENI YA UKUSANYAJI MAPATO

Posted on: June 26th, 2024

RC MTANDA AMTAKA MKURUGENZI WA JIJI MWANZA KUSONGA MBELE KAMPENI YA UKUSANYAJI MAPATO


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza Wakili Kiomoni Kibamba kuendelea kukaza msimamo katika ukusanyaji wa mapato na usimamizi thabiti wa vyanzo vya mapato vya Jiji hilo.

Mhe. Mtanda ametoa tamko hilo alipokuwa akitoa salamu katika kikao cha Baraza maalumu  la Madiwani kilichojadili taarifa ya CAG ya mwaka wa fedha 2022/2023 kwenye ukumbi wa halmashauri hiyo leo Juni 26, 2024.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema Serikali haiwezi kukubali kuona vyanzo vyake vya mapato vinachezewa na baadhi ya watu,  Mtanda amesema hayupo tayari kuona halmashauri hiyo ikipoteza vyanzo vyake na amemtaka Mkurugenzi kuendelea kusimamia vyema msimamo wake wa ukusanyaji wa mapato kwa maendeleo ya wananchi.

"Kama alivyosema Mkurugenzi kuna watu mnadaiwa na Jiji na wengine mpo humu,  hakikisha unasimamia maslahi ya umma na ikiwezekana na huo mkeka wa watu waliokabidhiwa hati za viwanja bila kulipa niletee na mimi nianze nao".Mkuu wa Mkoa

Mhe. Mtanda ameendelea kwa kusema vyanzo vya mapato visiposimamiwa vizuri inaweza kuleta athari kubwa katika uendeshaji wa halmashauri kwani ni mapato kama sivyo basi halmashauri hiyo lazima ife.

Sambamba na hayo pia Mkuu huyo wa Mkoa amelipongeza Baraza la madiwani kwa kuendelea kupata hati safi kwa mwaka wa tano mfufulizo kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesbu za Serikali (CAG) na kuwataka kuendelea kufanya kazi kwa bidii na kuhakikisha hoja zote zilizobaki ambazo hazijajibiwa zinajibiwa kwa wakati.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa ametoa muda wa siku mbili yaani mpka kufikia tarehe 28 mwezi wa sita Halmashauri iwasilishe mpango kazi wa utekelezaji wa hoja zilizobaki kwa Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa na namna zitakavyotekelezwa na kuziondoa kabisa.

Akifunga kikao hicho Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza Mhe.  Constantine Sima amemuhakikishia Mkuu huyo wa Mkoa kuwa maagizo yote ikiwemo ya usimamizi wa vyanzo vya mapato yeye na wahe. Madiwani watakwenda kuyasimia kwani na wao ni ajenda yao pia.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.