• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWAPOKEA WASHIRIKI WA KOZI YA NDC MWANZA

Posted on: January 19th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amekipongeza Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) kwa kuendelea kuandaa ziara za mafunzo zinazowawezesha washiriki wake kujifunza kwa vitendo utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini.

Akizungumza Januari 19, 2026 wakati wa mapokezi ya Washiriki wa Kozi ya NDC Kundi la 14 waliowasili Mkoani Mwanza Mhe. Mtanda amesema ziara hizo ni muhimu katika kuwajengea uelewa mpana viongozi kuhusu juhudi za Serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Ameeleza kuwa Mkoa wa Mwanza unaweka mkazo katika kuwawezesha vijana kiuchumi kupitia ushiriki wao kwenye shughuli rasmi za uzalishaji mali, akibainisha kuwa vijana ni kundi hatarishi endapo halitapatiwa fursa na ujuzi wa kiuchumi.

Mhe. Mtanda ameongeza kuwa uchumi wa mkoa unategemea kwa kiasi kikubwa sekta ya uvuvi kutokana na uwepo wa Ziwa Victoria, pamoja na fursa za uchumi wa buluu ikiwemo uvuvi na usafirishaji wa majini.

Vilevile amesisitiza umuhimu wa kilimo cha mazao ya biashara kama pamba, dengu na mpunga katika kuinua uchumi wa wananchi wa Mwanza na kuhakikisha usalama wa chakula.

Kwa upande wake, Kiongozi wa Timu ya Washiriki wa Kozi hiyo, Brigedia Jenerali Method Matunda amesema washiriki watatembelea miradi mbalimbali ya kimkakati ikiwemo Uwanja wa Ndege Mwanza, Karakana ya Songoro, TASHICO, TARI–Ukiriguru na Daraja la Magufuli kama sehemu ya ziara yao ya mafunzo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA: DHAMIRA NI MSINGI WA KUFANIKISHA SHUGHULI ZA MWENGE WA UHURU 2026

    January 26, 2026
  • NDC WAHITIMISHA ZIARA YA MAFUNZO MWANZA

    January 23, 2026
  • WAZIRI MKUU AZINDUA MELI MPYA YA MV NEW MWANZA, ATOA MAAGIZO KWA MIRADI ILIYOSIMAMA

    January 23, 2026
  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI SAHWA -MWANZA

    January 23, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.