• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA KULIVALIA NJUGA KERO YA VIJANA WAHALIFU WA MITAANI WATAKAPO THIBITIKA

Posted on: June 11th, 2024

RC MTANDA KULIVALIA NJUGA KERO YA VIJANA WAHALIFU WA MITAANI WATAKAPO THIBITIKA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesema atajiridhisha kupitia Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza kuhusu uwepo wa Vijana wa mtaani wanaojihusisha na masuala ya uhalifu na endapo itathibitika kuwa  ni kweli ataendesha operesheni ya kuwakamata Vijana hao na ameahidi kuwapeleka katika nyumba za kutibu watu walioathirika na matumizi ya dawa za kulevya (Sobber House).

Hayo ameyasema leo Juni 11,  2024 alipokuwa mubashara katika kipindi maalumu kupitia runinga ya Mahaasin TV, wakati akijibu swali aliloulizwa kuhusu kuzuka kwa wimbi la Vijana wanaojihusha na uhalifu hasa katika maeneo ya mjini.


Mhe. Mtanda amesema hawezi kulitoleaa ufafanuzi kwa sababu bado hajapata taarifa hizo na kwa kuwa ndio mara ya kwanza kusikia basi anahitaji kujiridhisha kupitia vyombo vya kisheria.

Akiendelea kutoa ufafanuzi Mhe. Mtanda amesema ana uzoefu mkubwa katika kushughulika na masuala hayo ya kiuhalifu na kwa uzoefu wake amesema kuwa vijana wengi wanaofanya  uhalifu wanakuwa ni waraibu wa matumizi ya dawa za kulevya.

"Kwa uzoefu wangu vijana wengi wamekuwa wahalifu kutokana na  uraibu wa madawa ya kulevya hivyo endapo nitawakamata basi  hakuna haja ya kuwapeleka polisi maana bongo zao tayari zimekwisha kuathirika na dawa hivyo sobber House ndio mahali sahihi kwao".Mkuu wa Mkoa.

Aidha RC Mtanda ambaye anafanya ziara kwenye vyombo vya habari Mwanza, amesema suala hilo atalifuatilia kwa ukaribu na atatoa majibu mara tu atapojiridhisha kutoka kwa Kamada wa Polisi Mkoa wa Mwanza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.