• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Mwanza awahakikishia Viongozi wa Dini ushirikiano katika Maendeleo na kudumisha amani

Posted on: July 20th, 2022


Amebainisha hayo leo Julai 19, 2022 Jijini humo wakati akifungua Mafunzo ya Viongozi wa Dini ya kujengeana uwezo katika kulinda na kudumisha amani yaliyoandaliwa na Kamati ya Amani.

"Tuendelee kushikamana kwa pamoja na msingi huu umezidi kuwa chachu ya Maendeleo miongoni mwa Jamii na hata kunapotokea sintofahamu utatuzi unapatikana haraka kutokana na msingi imara tulioujenga" amesema Mkuu wa Mkoa

Aidha, amewakumbusha  Viongozi hao kuendelea kumuombea Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kuisimamia na kuiongoza vyema nchi yetu kwani jukumu alilonalo ni zito na linahitaji maombi ya mara kwa mara.

Awali akizungumzia mafunzo hayo Mwenyekiti Mwenza wa Kamati hiyo Askofu Charles Sekelwa amebainisha huo ni muendelezo wa majukumu yao ya kuhakikisha Viongozi wanapata msingi mzuri wa kuendeleza amani katika maeneo yao.

Naye, Sheikh Hassan Kabeke ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani Mkoa amesema Kwa kutambua umuhimu wa Amani na Maendeleo miongoni mwa Jamii wataendelea kushirikiana na Serikali katika shughuli za maendeleo.

Mkurugenzi wa Taasisi ya kujenga Amani ambao pia ni wawezeshaji wa Mafunzo hayo Canon Goda amesema Taasisi hiyo imekuwa mstari wa mbele kutoa elimu hiyo hapa nchini kwa muda mrefu kabla na baada ya kusajiliwa na kumekuwa na matokeo chanya.

Mafunzo hayo ya siku mbili yamewashirikisha Viongozi wa Dini kutoka Mikoa yote ya Kanda ya Ziwa ukiwemo na Shinyanga.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.