• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

SERIKALI ITAENDELEA KUWAWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI - RC MTANDA

Posted on: November 15th, 2024

SERIKALI ITAENDELEA KUWAWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI - RC MTANDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesema Serikali itaendelea kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa kuwaletea programu katika kila sekta ili waweze kuwekeza mitaji na kukua kiuchumi hususani shughuli za ujasiriamali.

Amebainisha hayo leo Novemba 15, 2024 wakati akifungua mkutano wa uwezeshaji wanawake kiuchumi uliofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa uliolenga kutambulisha programu ya 'Imarisha Uchumi na Mama Samia'.

Akifafanua hilo Mhe. Mkuu wa Mkoa amesema Mwanza imekua shuhuda wa juhudi hizo kama vile ukopeshaji wavuvi boti za kisasa za zaidi ya Bilioni 1 kwa ajili ya kuwawezesha wavuvi kupata tija kwenye uvuvi na mazao yatokanayo na ziwa victoria.

Ameongeza kwa kusema kuwa ndani ya Mkoa huo kuna zaidi ya Vikundi 35 vya ufugaji samaki kwa njia ya vizimba ambavyo vimekopeshwa zaidi ya bilioni 4.4 na Benki ya Maendeleo ya kilimo (TADB) kwa ajili ya kuwainua kimtaji na kuwaondoa kwenye uvuvi wa zamani na kufuga kisasa.

"Mradi wa vijana wa unenepeshaji mifugo  kwenye shamba letu la Mabuki umewawezesha vijana 35 kupata ujuzi wa ufugaji wenye tija na wameshahitimu na hivi karibuni Serikali itawapatia vitalu kule Kitengule kwa ajili ya kufanya ufugaji." Amefafanua Mhe. Mtanda.

Naye, Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji wananchi Kiuchumi Bi. Beng'i Issa amesema baraza hilo limelenga kuhakikisha kuwa sera ya uwezeshaji inatekelezwa vema nchini kwa kukusanya maoni kwa wadau wake wote nchi nzima ili kupata dira.

Vilevile, ameongeza kuwa wawapo Mikoani wanatoa fursa kwa watanzania kutoa maoni na kushiriki kwenye uchumi wa nchi yao moja kwa moja na kwamba kwa sasa wapo kwenye kubaini shughuli za kiuchumi za kila eneo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.