• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TRA MWANZA YATOA MAFUNZO YA MFUMO JUMUISHI WA KODI ZA NDANI KWA WAFANYABIASHARA

Posted on: January 28th, 2026

Katika kuimarisha na kurahisisha shughuli za ukusanyaji wa mapato nchini, Mamlaka ya Mapato (TRA) imeanzisha Mfumo jumuishi wa Kodi za ndani ambao unatarajiwa kuanza kutumika ifikapo Februari 09, 2026 kote nchini na TRA Mwanza inatoa mafunzo kwa wafanyabiashara ili kujengewa uwezo.

Akifungua Mafunzo hayo katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana ameipongeza Mamlaka hiyo kuingia kwenye dunia ya kidigiti ambapo itaongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato kwani mfanyabiashara hatokwenda katika ofisi za TRA kufuata huduma.

“Nawapongeza sana TRA kwa kuja na wazo ambalo linaenda sambamba na dira ya serikali ya kutumia TEHAMA kusogeza na kurahisisha huduma za kikodi kwa wafanyabishara nchini.” Amesema Katibu Tawala.

Aidha, amewataka TRA kuhakikisha kabla ya kutekeleza mfumo huo wawafikie wafanyabiara kwa umakini na kuwapitisha katika moduli zote ili kusiwe na changamoto zitokanazo na ugumu wa mfumo.

“Ninawashukuru wafanyabiashara wa Mwanza kwa kuwa walipa kodi wazuri na natoa wito kwenu tuendelee hivyohivyo kwani kodi ndizo zinaipa fursa serikali kufanya miradi ya maendeleo ya jamii kama tulivyoona Daraja la JPM pamoja na Meli ya Kisasa vilivyotekelezwa na kodi zetu na sasa zinakwenda kuinua uchumi wetu.” Ndugu Balandya.

Akitoa utangulizi, Meneja wa TRA Mkoa wa Mwanza Bw. Faustine Mdesa amesema Kikao hicho cha siku tatu ni mahususi kwa wafanyabiashara kupatiwa mafunzo ya mfumo Jumuishi wa Kodi za ndani ambao unatarajiwa kuanza kufanya kazi ifikapo februari 28, 2026 kote nchini.

Amebainisha kuwa wafanyabiashara hao watapitishwa kwenye moduli 17 za zinazojumuisha namna ya Usajili, Ulipaji na ufuatiliaji wa masuala ya kikodi ambayo kwa ujumla yatampa fursa mfanyabiashara kumaliza masuala yote ya kikodi ndani ya mfumo pasipo kwenda kwenye ofisi za TRA.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA: BENKI ZISIJENGE MAFANIKIO BILA KUWAJALI WAFANYAKAZI

    January 29, 2026
  • HALMASHAURI ZAJENGEWA UWEZO UTEKELEZAJI WA DAFTARI LA MAKAZI NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 28, 2026
  • TRA MWANZA YATOA MAFUNZO YA MFUMO JUMUISHI WA KODI ZA NDANI KWA WAFANYABIASHARA

    January 28, 2026
  • RAS BALANDYA APOKEA UGENI WA WIZARA YA ULINZI NA JKT MWANZA

    January 28, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.