• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TULINDE NGUVU KAZI YA TAIFA KWA KUSHIRIKIANA KUTOKOMEZA MARALIA: RAS BALANDYA

Posted on: April 29th, 2024

TULINDE NGUVU KAZI YA TAIFA KWA KUSHIRIKIANA KUTOKOMEZA MARALIA: RAS BALANDYA


Viongozi wa Sekta ya Afya, Marafiki wa Maendeleo kwenye masuala ya Afya pamoja na viongozi wa dini wamekumbushwa kuunganisha nguvu pamoja katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Maralia ili kulinda nguvu kazi ya Taifa.

Rai hiyo ameitoa leo Aprili 29, 2024 na Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Balabdya Elikana wakati wa uhamasishaji wa kampeni ya ugawaji wa vyandarua Milioni 1.4 kwa Halmashauri 6 bila malipo zikiwalenga kaya zote ambazo zinakabiliwa na changamoto ya ugonjwa huo.

Balandya amebainisha kuwa licha ya takwimu kuonesha maambukizi ya Maralia kushuka kutoka asilimia 8 mwaka 2017 hadi 8% mwaka 2022 Mkoani Mwanza lakini bado nguvu ya ziada inahitajika kuutokomeza kabisa.

"Kwenye vituo vya afya bado kuna idadi kubwa ya wagonjwa wa Maralia wanaofika kupatiwa matibabu, unakuta baadhi ya watu wanatumia vyandarua kuvulia samaki au kufugia kuku hii maana yake bado Jamii inahitaji mkazo wa kuelimishwa," Mtendaji wa Mkoa.

Aidha ameipongeza Wizara ya afya, Ofisi ya Rais- TAMISEMI pamoja na Marafiki wa Maendeleo kwenye sekta ya afya kuja na mpango huo ambao una nia njema ya kujenga afya ya Watanzania.

"Hapa tukumbushane tena wahusika wote katika ugawaji huu wa vyandarua tusiende kwenye kaya na kuanza kutanguliza masharti kabla ya kugawa, hapo tutakuwa tunapindisha malengo yetu," amesisitiza Balandya.

Aidha, ameitaka Jamii kuhakikisha inaunga mkono jitihada hizo za Serikali katika kampeni kama hizo na kuwaepuka baadhi wenye kauli potofu kuwa vyandarua hivyo vinapunguza nguvu za kiume ukivitumia.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Thomas Rutachunzibwa amebainisha kuwa wamejipanga vizuri kuhakikisha elimu inatokewa kwa ufasaha kuanzia kwenye kaya hasa usafi wa mazingira wanayoishi.

"Kampeni hii imelenga Halmashauri za Buchosa, Kwimba,Magu, Misungwi, Sengerema na Ukerewe ambazo zimeonesha bado zinakabiliwa na changamoto ya Maralia", Stella Kajange,Mratibu wa Maralia na udhibiti wa wadudu wadhurifu OR-TAMISEMI.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.