• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TUNAHITAJI SULUHISHO KWA VITENDO NAMNA YA KUTEKELEZA MAJUKUMU YA MALEZI : DKT. JINGU

Posted on: May 23rd, 2025

TUNAHITAJI SULUHISHO KWA VITENDO NAMNA YA KUTEKELEZA MAJUKUMU YA MALEZI : DKT. JINGU


Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maaalumu Dkt. John Jingu leo mei 23 amefungua kongamano la malezi Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Rock City Mall, Mwanza na kuwataka wajumbe wa kongamano hilo kuja na mapendekezo ya majawabu halisia ya namna ya kuwa na malezi bora ya watoto.

Mhe. Dkt Jingu amesema anatamani kongamano hilo litakapokuwa likijadili lijikite katika kutafuta namna bora na wezeshi ya kuwalea watoto ambayo itawajengea msingi imara kuanzia ngazi ya familia, jamii na hata Taifa kiujumla.

“Wito wangu tuje na majawabu halisia, na siku hizi kuna smart phones, smart watches hivyo kwa nini na sisi tusiwe na smart child care?, kwa hiyo mapendekezo hayo ndio tunayoyataka”.

Awali akizungumza katika Kongamano hilo, Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana ametoa rai kuwa jukwaa hilo lije na majibu chanya kwa familia kama nguzo imara katika kuwapa malezi bora watoto hapa nchini.

"Nitoe rai kwenu, kwanza mlitumie vizuri jukwaa hili vizuri kwa kuwa nyote mliopo hapa mnajihusisha na malezi kwa namna moja ama nyingine leteni mikakati chanya itakayokuwa na tija kwa Taifa” Amesema Katibu Tawala.

Kongamano hilo la malezi Tanzania lililobeba kaulimbiu isemayo “Kuwekeza katika maendeleo ya awali ya mtoto ni msingi wa kujenga Tanzania imara na endelevu” linatarajiwa kuhitimishwa hapo kesho tarehe 24 mei 2025 huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Dotto Biteko.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA AIPONGEZA BENKI YA NCBA KWA KUWAENZI WATEJA WAKE

    May 23, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA MA-DC UKEREWE NA MAGU.

    May 23, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA MA-DC UKEREWE NA MAGU.

    May 23, 2025
  • TUNAHITAJI SULUHISHO KWA VITENDO NAMNA YA KUTEKELEZA MAJUKUMU YA MALEZI : DKT. JINGU

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.